Senga ft Pembe - MAMA SAMIA SULUHU (Official Video)

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Senga na pembe serikari wakumbukeni wazee SIYO wakifaa ndomnaenda Kama
Kwamzee majuto hapanaaaa, tuwakum uke wapo uhai,

calolinamwandali
Автор

Yaani Mzee Senga nakumbuka ulipokuja studio kurecodi, , uliniacha hoi sana aisee, , , Blees up

pascalshija
Автор

Senga hua hapendi kunyaswa nyaswa nakubali his name lake anaitwa senga mpooo wap likes za senga

fatmaluvuno
Автор

Afu pembe ilo rungu mpaka leo lipo toka Aslay anaanza muziki 2011 😂😂😂

braymusictz
Автор

Senga na pemba c mko na vituko...hivi mzee pemba aslay anakkumbuka kweli mlicheza na yye album yake ya kwanza

fridahmiruka
Автор

Mama Samia wamwagie hela Hawa wazee kazi nzuri wanafanya mpaka raha.

alfinmbilinyi
Автор

Jamani wazee wetu najisikia kulia kwa kazi yenu nzuri sana Senga wew hatari jina lako taslimu jamani duuh ubarikiwe

moingety.kaleku
Автор

Congratulations Mr senga an your team 🎉🎉🎉🎉🎉 mchapa kazi mama 💪💪💪💃💃💃

سوزي-عل
Автор

Yeah!Senga na lafuzi ya wanyakyusa wa kyela duu nimekukubali unaongea Kama rafiki yangu mwamakimbula mpaka raha.

alfinmbilinyi
Автор

😅😅😅😅😅ee mungu wangu na Hawa wametokea wapi kweli kazi inaendeleaa 🥰

suzanfelix
Автор

Senga nidhamu y'ako kwa lugha na mavazi inanipendeza, penda Kazi y'ako hapa Kenya

princetv
Автор

Rahaaa sanaaa!!Nawapendaa sanaa hawaa Wazeeee

danielmbalwa
Автор

Senga jamani umenifurahisha saana yaaani huu wimbo uko vizuri sana, nzuri kuriko "Rebeka ananisumbuwaa ayeee Rebeka ananisumbuwa aye mama" Much Love from Perth

flashlightstudio
Автор

From Nairobi Luv the hit kudos wazee wa kazi

phredmnati
Автор

Nakukubali kinoma mwanangu senga. Bonge la ngoma😂😂🌄🌴pembe kauwa pia😂😂😂🌄🌄🌄🌴🇹🇿💯.

mahmoudaziz
Автор

Nakupenda sana mzee wangu from Rwanda, Kigali🇷🇼

makurukimubinyamakuru
Автор

Hapo mwisho umetisha baba na ufupi wako

omariamiri
Автор

Hatali sana wazee wangu stawapinga sikukuzot

barutithedoni
Автор

Hili lisenga naliaminia sana tena sana, mumesikia mwishomwisho ginsi amerapuwa . Hongera sana wa sani wakongwe, nawamini sana from USA 🇺🇸

salvatoradamu
Автор

Kwakweli nime kubali songii h!!! Nikali kwakweli

richwchrstofer
join shbcf.ru