Dawa ya kumuona mchawi( mchawi)

preview_player
Показать описание
Dawa ya kumuona mchawi( mchawi

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Asante mwalimu sasa sisi watu wa Congo mara iyo bamiya na mkaa atuijuwi labda ungetuma ma picha ama video ya bamiya na mkaa

ShukuruSarive
Автор

Asante kwa somo. Lakin ninakoishi zipo sokon 2 je inawezekana kutumia hii. Bamia?

AnimalMbongo
Автор

Asante san lakini mtihio sihatuhifam baba

AlexisHafashimana-ts
Автор

Samahn Kaka naomba nisaidie nasumbuliwa na mpangaji mwenzangu amekuwa kero nataka kumfukuza ahame hapa nifanyeje

leonidasimon
Автор

Kaka namimi nisaidi mufanya bwashala mwezangu anapita kilasa kwenye bwashala yangu sasa nifanye nini hapa kwangu

KrishnaPaul-if
Автор

Ndio maana wacongo wanawazidi wa Tz mna maneno mengi yasyo maana, wenzenu wanauwa wachawi nyinyi mnataka tuwaone ili iweje

damianminsno
Автор

Ndungu yangu izo vitu yenye unasema haipatikani apa juu nko marsabit

HassanLastman-hhsw
Автор

Je?Ukichanja unaona sikuzote ausiku moja

LilianDominic-lc
Автор

Asante dawa ya masikio kuto Sikia mwanzo alikuwa yana Sikia

Farhani-gdzi
Автор

Nataka nambazako za sm namaongez na wewe saiv

Mohamedi-gl
Автор

Ndogo ndogo batu ba Congo ndo bamiya na mkaa ndo Makala yakupikiya

GodfatherNumbe
Автор

Hakuna madhara yoyote utakayopata baada ya kumuona? Au inabidi ufanye mini baada ya kumuona

VipodoziSafi
Автор

Ukimuona hatakuja kukuandama Sana kwa kasss

Mohamedi-gl
Автор

Aaaa sasa niambie nikimuona nimfanyeje? Kwenye ndoto tu namuogopa sembuse live

ChanziHaridi