Mtoto wa Rais Museveni afunguka kuwa anamzimia Ayra Starr

preview_player
Показать описание
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Huyu jamaa yupo serious na makini sana naweza kumpa bodaboda yangu aendeshe kwa mkataba

deomassawetv_dmtv
Автор

Ameanza kulewa sifa anahisi anaongoza Dunia kumbe ni jeshi lao tu basi😂

Daniel-gfv
Автор

Sikuzote wana jeshi wanakuwa na kimbere mbere anahisi anaongoza dunia zima na ni auganda tuu pekeyake🤣🤣🤣

Aishatheboss
Автор

Shida ni kifungo cha kuoa mke 1😂😂😂....Sisi waislamu hapo unaoa na makopa juuu❤

hamadsuleiman
Автор

Pombe ikipita kiwango haya ndo matokeo yake sasa

AmriSabiti
Автор

Huwezi kuwa kiongozi mkubwa hivyo napia uko nandoa halafu ukaongea ujingaa huu tena kwenye mitandao mikubwa hivyo hayo ndo madhara yakuwatawala wananchi kimabavu😂

EstarMichael
Автор

Imagine Jeshi nzima kuongozwa na mbumbumbu kama huyu jamaa ni kama anavutaga bangi

Khalidniya
Автор

Oh! my God can u imagine, this IS Africa 😂

Moïse-ps
Автор

Huyu nae ni penda penda. Alianza na na Beyonce, saizi kaja kwa vitoto vya 2000😂😂

benjo_brighter
Автор

Huyu ni mwanajeshi Makini akili nyingi ndiyo maana anatobowa anapiga Bao

YusufuMalila-bd
Автор

Tumefika huko ujue hata mimi iko hvyo huyo mtoto ananikosha ndugu zangu😂😂😂, kaine lugaba sio pow amewahi tishia kuikamata kenya 😁ndani ya nusu saa

AFRICA_D
Автор

Strategic, wengi mnaweza msiwe mnaelewa maisha ya huyu jamaa but me naamini sio bahati mbaya hzi

Life_LensDiaries
Автор

Jamaa kapigwa kitu kizito, akaona atangaze hisia zake.

daprince
Автор

Mm mwenyewe namkubar sana ayra staar nampenda

juliusdonard
Автор

Huyu mtoto wa kiongozi ni #Ufudu, kombo, kichwa kibovu kama kapagawa frani hivi boyaboya yaani sijui hata nisemeje lakini watot wa mjini nimeeleweka

ContentSmartphone-rqpo
Автор

Uganda imekua nchi ya familia ya museven...MUSEVEN SANA HYO....

DINASSOUR
Автор

Uyu jama aache kutumia vitu vya Arusha atapa ukicha

sonnyr
Автор

Huyo mke anamjua mume wake kuwa ni Malaya

AhmedAhmed-zmt
Автор

Nasasaule akiwa na bwana ataharibundoa yawenyewe?

FredWabwire-wq
welcome to shbcf.ru