IRENE UWOYA AKIRI “NIMEOKOKA SITAKI KUUZA POMBE, NIMEPATA HASARA MILIONI 200, MARAFIKI WANAJITENGA”

preview_player
Показать описание
Ni Mwigizaji Star Irene Uwoya ambaye amefunguka na kuiambia AyoTVENT kuwa kwa sasa ameokoka hivyo ameachana na Biashara ya Bar ambayo amewekeza fedha nyingi zinazoweza kufika hata Milioni 200 lakini aliambulia hasara. PLAY kutazama Full interview
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hongera dada umefanya maamuzi sahihi.Mungu azidi kuufinyanga utu wako wa ndani.na akupe thawabu yako in Jesus name.

itikamlagalila
Автор

Acha yote Ukuiokoka unatakiwa kukataa yote Mungu Anakuokoa. kuokoka gani mengine unqendelea nayo tena. Okoka vizuri Dada.

tumainimwanyonge
Автор

Asieionea haya injili na Mungu nae Mungu hatamuonea haya.Mungu akukumbuke hata tu kwa matamshi hayo.

itikamlagalila
Автор

Hongera nakuombea ukiri wako ukatimie kwa jina la Yesu.atakunywa uwache pia mana wokovu ni kutengana na dhambi.

patientlazaro
Автор

Changes always is A progessive Move🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

gospelvibestv
Автор

Hongera Irene. Pombe ina majabu jameni.

danwayne
Автор

It's right, wokovu ni mtu binafsi na Mungu wake na sio mawazo ya mtu awazavyo juu ya mtu mwingine, TUSIHUKUMU!

castobenjamin
Автор

Ww unamatatizo Irene Uwoya soma vizuri maandiko yanasema mselewe kwa mvinyo bali mjazwe roho mtakatifu acha kuwapotosha watu kuwa kunywa pombe sio dhambi na umeokoka, msichangamane na watu wasioamini Sasa we umeokoka unachangamanaje na Watu wanaotumia mvinyo?

MahangaTV
Автор

Heee!! Unaogea maziwa best! Mmhh! Mm nadhani hiyo hela Bora ungesaidia wenye njaa na kiu maana hiyo ndio tunu pekee katika kumcha Mungu

johnsonphilliminus
Автор

Huigizi kuongea upo halisi Mungu akubadilishe zaidi .kupitia wewe wengi watabadilika

kennedytv
Автор

Anayetengeneza na anayebeba na anayekunywa wote adhabu yao moja bora ni kuacha kabisaaaa

hamisa
Автор

Au wenzetu wa upande wa pili mnapata uokovu ata kama mnalewa na mnavaa nguo za uchi ?

bakariamour
Автор

Uokovu wa wasanii ni usanii pia samahanini lakini

subiramohd
Автор

Anaacha taratibu hata wanao kula madawa hawaachi siku moja

sethstiven
Автор

Wokovu huku unatembea mapaja nje we Dada wewe hebu acha kututania

johnsonphilliminus
Автор

Kuokoka ni kuacha dhambi, usionje, usiguse, Wala kunusa kileo.

kazimilykiyumbi
Автор

Pesa hizo’ isije kuwa misukule inapiga kazi..!

ismailyusuph
Автор

Hakuna kuokoka duniani. Kuokoka Ni mbinguni dada. Biblia inasema "ukimkiri Yesu kwa kinywa kuwa ni Bwana na kuamini kwamba alikufa na kufufuka, utaokoka". Haisemi umeshaokoka. Hauwezi sema umeokoka kuliwa na Simba wakati umemkimbia kwa muda na kupanda juu ya mti ila Bado upo huko huko msituni haujatoka. Bado upo duniani na dhambi Bado zinakusonga na kukuandama na muda wowote waweza ifanya kwasababu wewe ni kiumbe dhaifu Bado.

johnsonphilliminus
Автор

Hahahahahaaaa. Kunywa unakunywa ila hauuzi pombe. Sawa malkia

luhajufilmstanzania
Автор

Jamani nauliza ni nini maana ya kuokoka ? Unaokokaje wakati unavaa nguo za uchi na unalewa ?

bakariamour