SIMULIZI BILIONEA MO DEWJI ALIVYOTEKWA KWA SIKU 9; 'NILIKUWA NASUBIRI KUFA TU NIKAANZA KUOMBA MUNGU'

preview_player
Показать описание
#Day2NewsTV #CharlesWilliam #Zungu
Mwaka 2018 Bilionea Kijana zaidi Barani Afrika Mohamed Dewji alitekwa katika mazingira ya wazi na kuzua taharuki kubwa kwa umma. DAY TWO NEWS tumekuwekea makala inayokusimulia mkasa mzima wa tukio hilo, mwanzo mpaka mwisho. Karibu.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hongereni saana kwa kupigia kelel haya maswala kila mtu atumie anachokiweza kukemea mwenye kucoment kutengeneza content na chochote tufanye kupambana na hili janga

wisdomfolks
Автор

Zunguu I like what your doing man ✌️✌️✌️🇹🇿🇹🇿 keep it up

zitongwang
Автор

Tunamshukuru Mungu kwa kukulinda...Waliosababisha yote hayo..waliondoka wao. What goes around comes around.!

giovannir.restone
Автор

Dah brother unasimilia vizuli sana bigab sana sauti mzuli nataman uwe mtangazaji wa crous au efm

omarry-xz
Автор

Zungu tunaomba utulete ya jaji warioba toka chuo paka kuzinguana na nyerere wakati akiwa rais wa chuo udm

nasrysaid
Автор

wanadai nchi ina intelijensia kubwa 😊😊

Mussapeter-ctfu
Автор

Hii nchi watu watoke sauth wamteke mtu then waondoke ipo siku tutatekwa wote

AshelyMbegu
Автор

Watanzania siyo Wajinga (Magufuli's Voice) 😢rip🙏

nururaymond
Автор

Alishawahi kuwa mahabusu nani .. unaweza kukamatwa na kesi kubwa ukaambiwa chukuwa kesi ndogo na UKAKUBALI

alfalay
Автор

Now mnaleta stori za kutekwa za watu huko zamani ili kuficha Nini akili ndogo haiwezi kuongoza kubwa hiyo miaka yote ulikuwa wapi kusimulia

michaelthobias
Автор

Nakumbuka hii story baada yahapo makonda akajichanganya akasema kapatikana mpka milad Ayo aliposti mo kapatikana baada ya muda akapigwa bit akafuta ile post faster 🤣🤣, kipindi cha magu watu walikuwa waoga hasa waandishi wa habari ilikuwa ni lazima kumsifia tu

shuwehaharuna
Автор

Zungu unatuletea habari za miaka mitatu iliyopita wakati Kuna habari mpya zinazoendelea na kuitikisa nchi kwa muda huu! Mbona haupo updated yani hapo unachofanya ni kama kutusimulia hadithi za kale hizi habari ni marudio hakuna jipya kwenye hii habari yako ambayo watanzania hatuijui. Nikuombe tu lete habari zinazoendelea kwa muda huu

saluuhans
Автор

Musa Twalibu 😂 sijui alifanya kosa gani mpk akabebeshwa msalaba 😂

Watanzania sio wajinga RIP 🙏 MAGU tulikupenda ila mungu kakupenda zaidi 😢

abubakariali
Автор

Tuleteeni ujambazi wa ubungo mataa 2006, kile kisa kilivyotokea

mackchacha
Автор

And magufuli he couldn't show his consern until USA wanted to intervene to show where was mo dewg and Magu denayed

zitongwang
Автор

Hongereni saana kwa kupigia kelel haya maswala kila mtu atumie anachokiweza kukemea mwenye kucoment kutengeneza content na chochote tufanye kupambana na hili janga

wisdomfolks
Автор

Ndugu msaidie na wengine kama huyu kama soka na wengine mbona wengine mnawasaindia haraka sana saidia na wengine.

AyubuChacha-uu
Автор

Na nyinyi waandishi wa Habari, mnakubali kabisaa kwamba hao watekaji kweli walitoka Africa Kusini?? Na kwamba hilo gari liliingia nchini siku na tarehe tajwa, na halikukamatwa hadi Jamaa anatupwa kati kati ya mji ?? Seriously!!!?? Nyie mnaamini kuwa huo ndio ukweli???

giovannir.restone
Автор

Uongo mtupu mnajikosha?na mnadhani watu hawana akili kiasi cha kuamini upuuzi wenu yapo nyuma ya pazia !!!kma alivopigwa tundu lusi??? ndio yaliomkuta MO!! serekali ilimteka

zahraalbaloochi
Автор

MO Alitekwa katikati ya mgogoro wa ununuzi wa Korosho wakati ule! Akili ya kuambiwa changanya na yako

johansenbashange