filmov
tv
WALIPWA FIDIA KUPISHA ENEO LA UHIFADHI / MAZINGIRA NA UHIFADHI

Показать описание
Kaya zaidi ya 300, za Vitongoji vya Mahasa na Kabukuyungu, katika Kijiji cha Kalilani Kata ya Buhingi Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, zimelipwa fidia ya thamani ya mali zao na serikali kiasi cha Shilingi Bilioni 1.68 ili kupisha maeneo waliyokuwa wanayakalia kwa ajili ya shughuli za uhifadhi wa Wanyamapori katika Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale wakiwemo Sokwe.
TAARIFA ZAIDI NA EMMANUEL MATINDE…………..
TAARIFA ZAIDI NA EMMANUEL MATINDE…………..