USAJILI WA WANAFUNZI CHUONI KIBABII

preview_player
Показать описание
Ni ukurasa upya kwa wanafunzi wanaojiunga na vyuo vikuu na vyuo vya kiufundi humu nchini Ili kukata kiu Yao ya masomo .

Tarehe 18 mwezi wa September ni Siku ya usajili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa chuo kikuu Cha Kibabii .

Mipango kabambe imepangwa ambapo wanafunzi wanaanza kwa kuingia kwa chumba cha usalama kwenye lango kuu ambapo wanapewa mwelekezo wa shughuli nzima kisha kuingia chuoni .
Рекомендации по теме