filmov
tv
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WAPYA MWAKA 2024/25M
Показать описание
Maahad imeanza usajili wa kujiunga na masomo kwa mwaka 2024/2025 sawa na mwaka 1446 Hijiria. Fomu zinapatikana kwa Maafisa wa Elimu waliomo katika Mazawiya (Madrasa/Misikiti) ya Jumuiya pamoja na Msikiti Ngamia.
TAREHE YA USAILI (interview):
Tanzania Bara: Jumamosi tarehe 28/9/2024 sawa na Mwezi 24 Mfungo sita 1446H saa saa 3:00 Asubuhi, Msikiti ngamia-Mburahati kwa Jongo Dar es Salaam.
Unguja: Jumapili tarehe 29/9/2024 sawa na mwezi 25 Mfungo sita 1446H, saa 3:00 Asubuhi, Msikiti ngamia- Welezo Unguja.
Maahad inapokea wanafunzi wa Kiume ambao wanaweza kukaa Dakhalia (Hostel), na Wanafunzi wa kike ambao HAWATOKAA DAKHALIA watakuwa wakuja na kurudi (Day).
MZAZI, USIIWACHE NAFASI YA KUMPELEKA KIJANA WAKO KUPATA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU KATIKA FANI YA TASAUF
MAWASILIANO ZAIDI PIGA:📞
Mwalimu Mkuu: +255 777 468 018
Namba ya Msajili: +255 778 393 820
Ms/Mkuu: +255 718 318 575
TAREHE YA USAILI (interview):
Tanzania Bara: Jumamosi tarehe 28/9/2024 sawa na Mwezi 24 Mfungo sita 1446H saa saa 3:00 Asubuhi, Msikiti ngamia-Mburahati kwa Jongo Dar es Salaam.
Unguja: Jumapili tarehe 29/9/2024 sawa na mwezi 25 Mfungo sita 1446H, saa 3:00 Asubuhi, Msikiti ngamia- Welezo Unguja.
Maahad inapokea wanafunzi wa Kiume ambao wanaweza kukaa Dakhalia (Hostel), na Wanafunzi wa kike ambao HAWATOKAA DAKHALIA watakuwa wakuja na kurudi (Day).
MZAZI, USIIWACHE NAFASI YA KUMPELEKA KIJANA WAKO KUPATA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU KATIKA FANI YA TASAUF
MAWASILIANO ZAIDI PIGA:📞
Mwalimu Mkuu: +255 777 468 018
Namba ya Msajili: +255 778 393 820
Ms/Mkuu: +255 718 318 575
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WAPYA MWAKA 2024/25M
Asilimia 37 tu ya wanafunzi wapya wahudhuria mwaka mpya wa masomo kidato cha kwanza
Zoezi La Uboreshaji na Uandikishaji wa Daftari La kudumu la Wapiga Kura Kwa Mkoa was Dar es salaam
DIT KUFANYA UDAHILI WA WANAFUNZI KATIKA MAONESHO YA 18 YA ELIMU YA JUU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
TAZAMA ORODHA YA MAJINA YOTE AJIRA MPYA ZA WALIMU 2023/2024|AJIRA MPYA ZA WALIMU 2023-2024
FORM SIX JKT SELECTION 2024: MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JKT 2024/2025
TAMISEMI FORM FIVE SELECTION 2023/2024 |TAARIFA KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO NA VYUO
ASKARI WAPYA ZAIDI YA 3000 WAHITIMU MAFUNZO YA KIJESHI RTS KIHANGAIKO WAASWA KUISHI KIAPO CHAO
USAJILI UNAENDELEA
USAJILI WA 2022 UNAENDELEA
🔴#LIVE SIFA ZA KUJIUNGA NA CHUO CHA TAIFA NIT/ ZIFAHAMU KOZI 20 ZA CHUO CHA NIT.
Wewe ni katibu wa chama Cha mazingira shuleni. Andaa kumbukumbu za mkutano uliofanyika 20.3.2023.
WITO WA KUJIUNGA NA JKT AWAMU YA PILI 2024 JKT WALIOCHELEWA KUREPORT| jkt form six selection 2024
NACTE YATANGAZA KUFUNGULIWA DIRISHA LA UDAHILI KWA WANAFUNZI WA NGAZI ZA ASTASHAHADA NA STASHAHADA
WATU KIDUCHU WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA, MAKONDA AWAHAMASISHA WANAFUNZI
TCU yasitisha udahili kwenye vyuo vikuu vinne ikiwemo IMTU, yatoa maelekezo
MCL MAGAZETI JULAI: 26, 2017: TCU yazuia Vyuo 19 kufanya udahili wa wanafunzi wapya wa mwaka huu
SUZA YAWAKARIBISHA WANAFUNZI KUJIUNGA NA CHUO HICHO
SALAMU ZA X- MAX NA MWAKA MPYA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA
Mchakato wa Ufadhili St Jude’s
UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUFANYIKA ZANZIBAR DESEMBA 30, 2019 HADI JAN 5, 2020
USAJILI BADO UNAENDELEA... TUPIGIE KWA NAMBA 0689168775
KUMBUKUMBU ZA MKUTANO
HIZI HAPA KOZI MPYA UDSM , FURSA ZAONGEZEKA KWA WANAFUNZI , LUGHA ZA KIGENI ZAONGEZEKA.
Комментарии