UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WAPYA MWAKA 2024/25M

preview_player
Показать описание
Maahad imeanza usajili wa kujiunga na masomo kwa mwaka 2024/2025 sawa na mwaka 1446 Hijiria. Fomu zinapatikana kwa Maafisa wa Elimu waliomo katika Mazawiya (Madrasa/Misikiti) ya Jumuiya pamoja na Msikiti Ngamia.

TAREHE YA USAILI (interview):
Tanzania Bara: Jumamosi tarehe 28/9/2024 sawa na Mwezi 24 Mfungo sita 1446H saa saa 3:00 Asubuhi, Msikiti ngamia-Mburahati kwa Jongo Dar es Salaam.
Unguja: Jumapili tarehe 29/9/2024 sawa na mwezi 25 Mfungo sita 1446H, saa 3:00 Asubuhi, Msikiti ngamia- Welezo Unguja.

Maahad inapokea wanafunzi wa Kiume ambao wanaweza kukaa Dakhalia (Hostel), na Wanafunzi wa kike ambao HAWATOKAA DAKHALIA watakuwa wakuja na kurudi (Day).
MZAZI, USIIWACHE NAFASI YA KUMPELEKA KIJANA WAKO KUPATA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU KATIKA FANI YA TASAUF

MAWASILIANO ZAIDI PIGA:📞

Mwalimu Mkuu: +255 777 468 018

Namba ya Msajili: +255 778 393 820

Ms/Mkuu: +255 718 318 575
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Maa Shaa Allah Mungu aiendelez Maahad yetu

Mr_Yussuf_as_well