SMZ,ZIC KUANDAA BIMA KWA WAGENI WANAOKUJA ZANZIBAR

preview_player
Показать описание
Waziri wa nchi ofisi ya Rais fedha na mipango Saada Mkuya Salum amesema serikali ya mapinduzi ya zanzibar kupitia shirika la taifa la bima zic wamedhamiria kuweka huduma ya bima ya wageni wanaosafiri kuja zanzibar ili kuhakiksiha wanapata huduma bora nchini
Saada ameyasma hayo katika mkutano wa kupoka maoni katika kikao kilichowashirikisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii hafla iliofanyika katika ukumbi wa golden tulip uwanja wa ndege mjini unguja
Рекомендации по теме
visit shbcf.ru