AFRIKA NA MAZISHI / REV. DR. ELIONA KIMARO

preview_player
Показать описание
IBADA YA KUAGA MWILI WA FRIDA K. KAAYA: KKKT USHARIKA WA KIJITONYAMA

UJUMBE WA LEO: AFRIKA NA MAZISHI

Kumbu 34 : 1- 12
Yoshua 1 : 1 - 2

1 Musa akapanda kutoka uwanda wa Moabu mpaka mlima Nebo, hata kilele cha Pisga kukabili Yeriko. Bwana akamwonyesha nchi yote ya Gileadi hata Dani;

2 na Naftali yote, na nchi ya Efraimu na Manase, na nchi yote ya Yuda, mpaka bahari ya magharibi;

3 na Negebu, na uwanja wa bonde la Yeriko, mji wa mitende, hata mpaka Soari.

4 Bwana akamwambia, Hii ndiyo nchi niliyowaapia Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, nikisema, Nitawapa wazao wako. Basi nimekuonyesha kwa macho yako, lakini hutavuka huko.

5 Basi Musa, mtumishi wa Bwana, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la Bwana.

6 Akamzika bondeni, katika nchi ya Moabu, kukabili Beth-peori; lakini hapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo.

7 Musa alikuwa mtu wa miaka mia na ishirini alipokufa; jicho lake halikupofuka, wala nguvu za mwili wake hazikupunguka.

8 Wana wa Israeli wakamwombolezea Musa katika uwanda wa Moabu siku thelathini; basi siku za maombolezo ya matanga ya Musa zikaisha.

9 Na Yoshua, mwana wa Nuni, alikuwa amejaa roho ya hekima; maana Musa alikuwa amemwekea mikono yake juu yake; wana wa Israeli wakamsikiliza, wakafanya kama Bwana alivyomwamuru Musa.

10 Wala hajainuka tena katika Israeli nabii kama Musa, ambaye Bwana alimjua uso kwa uso;

11 katika ishara zote na maajabu yote, ambayo Bwana alimtuma kuyatenda katika nchi ya Misri, kwa Farao, na kwa watumishi wake wote, na kwa nchi yake yote;

12 na katika ule mkono wa nguvu wote, tena katika ule utisho mkuu wote, alioutenda Musa machoni pa Israeli wote.

Yoshua 1 : 1- 2

1 Ikawa baada ya kufa kwake Musa, mtumishi wa Bwana, Bwana akamwambia Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa Musa, akasema,

2 Musa mtumishi wangu amekufa; haya basi, ondoka, vuka mto huu wa Yordani; wewe na watu hawa wote, mkaende hata nchi niwapayo wana wa Israeli.

Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro.

Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053
+255 754 516 053
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mch."heri tumbo lililo kuzaa na matiti yaliyo kunyonyesha"
Mungu akutunze na akupe Yale yote ambayo hujajaliwa kuyapata❤

SarapiaKatura
Автор

Asante Mchungaji kwa mafundisho. Mungu akubariki sana

lilianwilfred
Автор

Ujumbe mzuri Asante baba Mchungaji ❤

JoshuaHilgath
Автор

Wewe ni mchungaji mzuri ambaye unaweza kufundisha pia washarika mambo ya kiuchumi hakika Kijitonyama Lutheran mna bahati sana ya kuwa na mchungaji kama hyu Mimi Hadi nawaonea wivu

furahamtweve
Автор

Amina, umenifinyamga Sana na sasa nalisoma neno LA mungu kila siku kwa ajili yako

NeemaLaurent-lx
Автор

Amina.Asante kwa ujumbe mzuri
Tuombe Mungu atubadirishe

SarapiaKatura
Автор

Amina Mungu atubadilishe atakavyo ili tuwarithishe watoto/wajukuu wetu

waijuwandu
Автор

Nijalie nipate mango wa familia yangu, yaani family project

NeemaLaurent-lx
Автор

Mchungaji Nini lkn na beleshi😅😂😂😂 Mungu akutunze

lightnessgabriel
Автор

Kilima cha pisga kule Jordan ndiko musa alipozikwa, na mungu mwenyewe ndo kamzika, (moabu) km 48 tu mungu alimuua musa kabla ya Kubiak caanan

NeemaLaurent-lx
Автор

Taifa hili lina bahati sana kuwa na mtu kama wewe..

amonidafa
join shbcf.ru