Dereva Babili - Sauda Haulat - Video - 2006 - FM studios - In loving memory, #kihaya #wahaya

preview_player
Показать описание
I don’t own the rights to this music
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Toka nipo mdogo huu wimbo hauchuji kwenye harusi za kihaya likipigwa tu beat Dj kaua kamaliza

stevenameizing
Автор

Dereva babili, , maana halisi ya msanii kioo cha jamii ndo hii sasa.

kaijanantesarapion
Автор

Nimekukumbuka sana mama angu jirani yangu ma sauda mwenyezi mungu akupokee na akukuzie mabinti zako niliumia sana niliposikia umekufa 😭l

justakyoma
Автор

Wasanii wa zaman walikuwa wanatuliza akili sana katika kuandika nyimbo,

Nickshisha-Brand
Автор

Kwakweli ogu omukazi akaimbage, kuba akyali omunsi twakubaile ntushemelelwa mno ne nyimboze kushaga olu.

GodwinRwegasira
Автор

Mi naona mwanamke mmoja hawezi kua na wanawake wawil au mwanaume kua na wanawake wawil apo hamna Amani

NataliaKenny-vbos
Автор

Aisee huu wimbo siku za sikukuu zamani ilikua balaa🔥🔥🔥

princeeddie
Автор

ukiwa mdogo huu wimbo utacheza tu ngoma ila ukiwa mkubwa huu wimbo utasikiliza maneno na utagundua maisha ni Mtihani mkubwa sana

amosmutasa
Автор

Wimbo mzuri sana
FAHARI WAWILI HAWAWEZI KUKAA KTK ZIZI MOJA!

ZitaJoseph-bbwh
Автор

JAMANI NI NZURI SANA HATA MIMI NI MHAYA❤❤😢🎉

fatmamasumay
Автор

MWENYEZI MUNGU akupumzishe kwa amani 🙏🏼

lilianmeshack
Автор

Kazi nzuri mungu aiweke roho yake mahala pema

piuskayondi
Автор

Kipindi nipo mdogo sikuwa naelewa hii nyimbo, ila leo nimeielewa san, huyu mama alitumia akili sana kwenye huu wimbo, tutamuenzi milele R.I.P Bi sauda 🙏🙏🙏

Stays_tz
Автор

Mungu amlaze mahali pema peponi. Amina, jamani yahani 🙏

edhe
Автор

Yan hii nyimbo inanikumbush mengi🙏 2:15 2:19

ValenceVedasto
Автор

Omukama akubululile amaishoge mbali oli.

winniefridamutakyawa
Автор

Zambi zambi saida wewe uliusika kwenye kifo cha sauda😢😢😢

edrickniwamanya
Автор

Maskin pumzika kwa aman wimbo mzuri japokua sielew kihaya ila una vibe

ValencyDeogratius
Автор

Hakika maisha ni mafupi..R.I.P kwa waliotangulia mbele za Mungu😢

jimytz.
Автор

We speak the same language in Uganda it's a Rutooro language

reaganmicheal
welcome to shbcf.ru