#BALOZI SEIF ALI IDDI NA UJUMBE MZITO KWA TAIFA

preview_player
Показать описание
#isleblogTV Balozi Seif Ali Iddi Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu amesisitiza suala la kuliombea Taifa na kutunza amani tuliyonayo tukizingatia mwaka huu 2025 Nchi inakwenda kwenye Uchaguzi. Kama bado hujasubscribe chanal yetu fanya hivyo sasa ili uwe wa kwanza kupata habari zetu na kuwajuza wengine. Asante Like|Comment|Share|SUBSCRIBE NOW
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wazanzibari umetuibia hela nyingi mno,
Hatukusamehe mzee,
Na Mungu atatulipia.
Balozi hatukufahamu kwa kheri, tunakufahamu kwa Shari ulizotufanyia wazanzibari kipindi chako chote cha utawala.
In shaa Allah Mungu atatulipia siku ya kiama

MakameFaki-tp
Автор

Waombe radhi uliowapeleka jela bila hatia, kisha ukawatolea maneno ya jeuri....

MuhamadHija-vn
Автор

Balozi Mzungu atakulaani na kizazi chako shwain mkubwa ....

kirembohenry
Автор

Duuuu maisha ukitoka madarakani unakuwa mpole duu Dunia Ina makubwa

alisharia
Автор

Kwa uchaguzi raia wanaamini kukiwa na haki hakuna haja ya chochote. Iyo aman inayozungumzwa itakuja wenyewe. So tutendeane Haki na usawa.

binmasoud
Автор

Umesahau uliposema Vialamtara venu zitawasaidia nini Allah ndiye mlipaji wa kukulipa yote uliyofanya kwa Mashekh ukawapeleka Tanganyika ukawadhalilisha na wewe Allah atakudhalilisha hapa Duniani na kesho akhera malipo ya hasara ndani yake

ashahamad-mqiz
Автор

Amani na Haki lipi linalochafua na kwanini wengine wanahubiri amani tu na wengine wanahubiri Haki na wengine wanahubiri haki na amani kuweni wakweli viongozi na wanasiasa na masheikh allah anatuona tunayoyafanya pumzi tunazofuta zisidudanganye allah wakati wowote ule anaweza kuchukua amana zake (roho) jamani siasa siasa siasa pamoja na vyama tutaviacha hapa hapa amali yako ulioifanya ndiyo itakayokusaidia tuacheni kibri kutishana kuuana kugombana kubaguana kutiana fitna uchaguzi unakaribia tumuombeeni allah atufikishe salama na haki na amani iwepo

AbdulKahamu
Автор

Wewe huna cha kuwaeleza watu huna jema ulilofanya zaid ya zulma mzee wa vialamtara

khamisjuma
Автор

Yani mtu akufanyie maudhi half ww umuombe msamaha hatari hii

abdiilahabdalla
Автор

Amani iko wapi wakati watu wanaishi na hofu tu

chichi
Автор

Mafundisho ya kuiba kura pia ni amani haki na amani ni watoto pacha.

hamadkhamis
Автор

Ss na ww mmbo uloyafanya wakati wa uwongozi kuwatesa mashehk ulishawaomba radhi wanafiki wakubwa mnajua mnachokifanya

aliyabdullah
Автор

ww sheigh na ww siye kwa hiyo hayo mauwaji ni ya kuzushwa

SoudAli-il
Автор

Ukiona watu wanagombana ujue hapana haki hapo. Na ndicho kilichopo hapa Zanzibar.

IddiKhamis-uc
Автор

Kasahauuuu saiv domoo kusomaaa iyoooo vpppp weee sbr sku yako tukupelekeee😅😅😅😅

DadialiDadi
Автор

leo unayajua hayo umeshayasahau ulioyafanya utawala wako

SoudAli-il
Автор

Umesahau uliposema wenzenu wananyea dooni au umesahau balozi

HassanAhmed-dijq
Автор

Leo tena fisadi mkubwa wee ungaa kimya tu

ZANAMBER
Автор

Pesa za kuzama spice ilander ziko wapii?

KibaKibayuni
Автор

Kwa huyu sefu idi bora kadinali pengo naweza kumsikiliza

khamisjuma
join shbcf.ru