Kama umefurah kumskiliza muheshimiwa #Niki wa pili weka likes 🔥
HonestBway
Hawa ndio weus tuliokuwa tunawapenda, bonge Moja la ngoma, mmeiimba kizaman kisasa, hongeren Nick wa II n kama alkuwa na kiu sana yakurap, ameuwa mnoo
charlesmassawe
Umepigangaje dore mi fa so ti do. #hiiimeenda #bembea #weusi #keepthegoodmusicalive
LaurentJoseph-dt
Habari zenu wakuu...niwaombe radhi kama nitakua nawakosea kwa maoni yangu...ILA NADHANI INGEKUA VIZURI KUTAKA RIDHAA YA MATUMIZI YA INSTRUMENT YANGU NA SI KUPITA NAYO KIBABE...NIMESIKITIKA SANA WALLAHI DAA😢
kuchdady
Ngoma ni kali sana nimependa walichokifanya ni ubunifu wa Hali ya juu sana
God
Wanangu saizi game inawakataa sio kama ile miaka ya 2015 kurudi nyuma😢
GucciJackson-qn
Gusa achia comment, hili ngoma ni kali sana🔥🔥🔥
innomchaga
Tunao mkubali g nako gonga like tusepe
AndrewCathbert
Ngoma makini sana sana sana
ChrissJoel-tc
inakaa song BEMBEA wa marehemu ALI B 🇰🇪....kwa mara ya kwanza TZ mnaiba ngoma ytu