BEST OF KENYA VS TANZANIA TIKTOK WAR

preview_player
Показать описание
Kenyans are at back at it again. This time round its not Kenyans On Twitter known as KOT but Kenyans On TikTok still known as KOTT
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

I thought that wanajiweza but hadi wanakopa pic ya rodi ya majuu 😂😂😂 ili wafanye competition 😅😅😅😂😅

amayahope
Автор

😂😂😂Kenya ndio wale wabaya love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

harunjb
Автор

Matako wewe inakusaidia😂😂😂
Umepona matako ya mtoto mjaluo😊

Renis-ouma
Автор

Chunga usigonjeke na hamna hospitali..muje kenya 😂😂😂

euniceanyoso
Автор

Matako ngani hio amuochangi munanuka Mafi kila siku. Uchawi ndio mko nayo kwa wingi

janewayua
Автор

We're all East Africans one love one people ✌️🕊️

Lule
Автор

😂😂😂😂😂this reminds me of one Kenyan dude from coast with whom i had an intense argument a fist fight almost broke out
when this coast dude told me ati wewe nitakuroga uikute hiyo makende yako ina ninginia kwa kisogo yako ili uwache kufikiria na makende kila mtu aligeuza macho kwa kisogo yangu
As i touched it to confirm if its true
Watu wote wakaanguka chini kwa kicheko
Hayo malumbano yakaishia hapo wueh 😂😂😂😂😂😂😂

Mkurungwe
Автор

Uwiiii twaenjoyi jaman tanzania yetu sanaaaa

Sila-xn
Автор

Hizo barabara sio zetu majamaa tusidanganyane buana😂😂😂😂

cabdikanikelvines
Автор

😅😅 acha tu ninyamaze, huyu anafaa toba

FAITHIKACHOPAN
Автор

Angalia sura inasema eti imetuzidisha sura 😆😂😂😂😂
Mdomo yenyewe Ukiambiwa imekula Chipo ya mia na soda kubwa huwezikataa huyu kwanza si manzi huyo ni dangamanya kwanza huyo ni yakuuza 😆😂😂😂

SheltonJunior-hmgr
Автор

Hawa watu wanaongea wenyewe wanajichekesba wenyewe, kweli mtu mjinga sio wa kubishana nae hivi Tshs 3, 000, 000 ni Ksh 30? 😂😂😂 au wanatafuta umaarufu kwetu .

ndukulusudikucho_
Автор

Wambie tuko na Dobbah ranks 🔥🔥🔥 reggae dance, l hip-hop dril, l bongo mtafute

JEFFERSONONSONGO-tx
Автор

Matako ya Mikorogo ya Mchina.... 😂😂😂😂😂😂 Watanzania mtashangaza ulimwengu na Lugha yenu Moja hiyo Kiswahili yaani hamna Tofauti na Mnyama ju Mnyama anaelewa lugha aliyolelewa nayo tu.... 😅😅😅😅

cristianoprincegabrielles
Автор

Ujinga ni nini? Ujinga ni kujisifu kuongea lugha ya Mwenzio, tumepakana na Zambia 🇿🇲 kwanini hawajisifu kwetu kuwa wanajua English? Kwa kuwa wana akili kichwani, Dunia nzima ni Kenya pekee hujisifu kwa Kuongea English 😂😂😂 huku Tz ukiongea hiyo Lugha unaonekana bado una makombo ya utumwa

ndukulusudikucho_
Автор

Kenya n Kali, Tanzania kubali tu Hadi tumewashinda pesa😂😂😂

RoseOyagi
Автор

0:36 huyu hiyo nywele ni ya Muhindi alikufa ameivaa hadi na ngozi yake

jacobsn
Автор

Tanzania mikorogo ndo inawapa kiburi cha kusema Wana matako na sura. Pole kama nmewakwaza.

maurinenarotso
Автор

Malkia Elizabeth sijui aliwafanya nini, kweli karne ya 21 unajisifu unaongea English? Ktk Nchi inaongoza watu wake kurudishwa kwao ni Kenya 🇰🇪 angalia hata takwimu za Canada sasa najiuliza si wanaongea English sasa wakiwa air port za Nje huwa wanaongea kikamba au kikisii?😂😂😂 mbona wanarudishwa saaana, sisi tunaongea Kiswahili tu tukifika air port na mkalimani wanatutafutia 😂😂😂 ushasikia tumerudishwa kama kuku? Eti English 😂😂

ndukulusudikucho_
Автор

Tanzania wanadanganya wako na barabara kumbe wamekombowa wachukuwe picha nazo wakuje kuringa nazo kujeni Kenya bwana😅😅

danielkamara
join shbcf.ru