NJIA MBILI ZA ASILI KUONDOA CHUNUSI NA MABAKA USONI

preview_player
Показать описание
Inawezekana kwa muda mrefu umehaingaika kutafuta dawa ya kutibu chunusi usoni, dawa ya kuondoa chunusi na mabakabaka usoni bila mafanikio. Sasa kupitia video hii nimekuwekea njia mbili za asili ambazo unaweza kuzitumia kumaliza kabisa tatizo la chunusi na mabaka usoni. Naamini zitakuwa msaada kwako
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ninamabaka na chunus kidogo Sana ..je nikitumia hizo njia mabaka yatatoka

deborajulius
Автор

Asante sana kwa maelezo yako yakueleweka nitajatibu mana niko na chunusi sababu ya cream

bintrashid
Автор

Sawa direct hii njia inaonekana ni nzuri Nita use

MarthaAbel-re
Автор

Dawa ya meno jamani imenisaidia asante sana usoni nimekuwa mteke mteke

AgnessseniAgness
Автор

Samahani Nina madoa nifanyije yaishe naitaj ngoz nzuri

NatashaSamili
Автор

Nina makovu ya kuungua na scrub nawez tumia?

SafinaS-mu
Автор

Nisaidie mim ninatatizo la chunus sugu nimetumia cologate lkn hpn naomb ushauri zaid

SimonKhamisi-pidh
Автор

Au mwasemaje tuliokomment kweli au sikweli

anwarharoub
Автор

Nashukuru Kwa hii video naenda kufanya hivo

ChrispiniIzdori
Автор

Je naweza nkatengeneza hiyo dawa na kuihifadhi kwenye chombo na kuitumia hizo siku saba?au kila siku natengenezan nyingne?

NjalileKililimbi
Автор

He'llo kaka na kwa mwili wote unaweza kupaga ? Kwenye tumbo na mgogo weuse Sana waniwasha???

irinenanciebarasa
Автор

Mmeambiwa tumia kwa muda wa siku saba jamani nyie mnaouliza kwa muda gani. Mbona kaongea kabisa hapo!

neemamkumbwa
Автор

Mimi chunuzi uwaga zinakuja pembeni ya mudomo😢uwaga zinajirudiya Kila mala uaga napata aibu😢

KanezaTakecare
Автор

Mimi nko nazo mpka kwa shingo nikitumia hiyo dawa itaondoka

FathiyaBakari-we
Автор

Samahani mimi sijaelewa kuhusu hiyo njia ya kitunguu maji ni unakitwanga ili uweze kupata hayo maji au unafanyaje naomba unieleweshe hapo

JovanJaphet-gjb
Автор

Samahan nasumbuliwa namba uson nfanyaje

TaubahRamadhan
Автор

Ahsante sana, for my self nimekuelewa vizur je? Unatumia kwa muda gani?

joffreyleonard
Автор

Sasa dawa ya mswakii unalala nayo Au unakaa nayo kwa masaa mangapi

HalimaAlly-he
join shbcf.ru