KIUMBE MAPENZI PROFESSOR MK 2

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hakuna hodari wamapenz nawambia wala mwenye siri awezi kujizuia na KAMA YUPO si MKWELI from Mafia island ninapenda sana this songs

jerrjamary
Автор

Haya maneno ni ya kweli kabisa mpaka unajichukia una kuwa hauna kujiziwiya kabisa... Asante Sana bro mwimbo mzuri sana

salimalharthy
Автор

Profesa uko juu sana kiukweli ww huna mpizani kupiga kinanda na kuimba ni kipaji kikubwa sn broo

mussakhamis
Автор

Yaani imba nyimbo za zamani zinapendeza sana uko vizuri broo

tumapentagon
Автор

Harusi yangu lazima nikodi hapa kwa kweli napenda sauti 🔥🔥

ysherahmad
Автор

Wallhahi huu wimbo naupenda sana yamenitokea

RahmaAwami
Автор

Jamani nimeacha sikiliza nyimbo Ila nimeona kwenye status oooo si nimenogewa home imenikumbusha saut iwe salut kwako 👮🏿‍♀️

TeamKRX
Автор

Mashallah" Yanikumbusha mbali sana sana"R.I.P Swalehe Mtumwa.

shanaharuna
Автор

Kinanda kimetulia profesa ww wakupiga shoo nje ya Tanzania ndio mambo tu huna hadhi ya kupiga shoo zanzibar

mussakhamis
Автор

NDIO MAANA KTK UISLAMU KUIMBA NI WANAWAKE TU NDIO WAMERUHUSIWA

omarsuleiman
visit shbcf.ru