NIKKI WA PILI DC KISARAWE, HAWA HAPA MA-DC WAPYA PWANI

preview_player
Показать описание
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 19 Juni, 2021 amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya katika Mikoa ya Tanzania Bara kama ifuatazo:-
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hongera sana Nick WA 2...
Mungu mwenye enzi akutangulie ktk majukum mapya...
Ahsante Mama Samia..

migeyochieftz
Автор

Hongera sana kijana. Mungu akutangulie kwa kila jambo lililoko mbele yako..Hakika mama hajakosea kukuteua. Kachape kazi kwa bidii na maarifa.

stemarcely
Автор

Dah! i bongo ukiwa maalufu ndo unapata magep

bizobusiness
Автор

Kwenye wimbo wa Rostam, walisema taa inamulika kisarawe na mm Le ndio nimeuona mwanga!!.

selemanichiga
Автор

Nikki anaenda kugombana na wazaramo wenye nongwa Jokate alipendwa kwa mambo mazuri aliyoyatenda Kisarawe aliyekuwa waziri wa Tamisemi Seleman Jafo mzaramo na ni kwao huko lkn hakutenda cha maana hd leo raia wamemkalia kooni lkn Jokate watu wanamlilia na wanamkumbuka kwa mema yake kwahy Nikki akafate nyayo za Jokate

OfficialA
Автор

Tulijua tu utamtoa jokate jama zenu zakumaliza wateule wampendwa wetu magu tunazijua endeleeni wakati wenu sasa ..yana mwisho

johnmikesoni
Автор

Mkuranga ni mama twaomba jitaidi kusimamia masoko maana ii wilaya kila mwaka kilio tu kwa wazazi wetu ktk kilimo

naipendatanzania
Автор

Weusi tupo pamoja Nita ziba kilaka apo alipo toka niki

mwanakherkione
Автор

Nikki wa pili hongera sanaa, , ukiona moja yako haikai umeikalia

danielmwakibibi
Автор

Pascal umechapia hapo namba 99 sio canal ni "colonel.

athumanizaidi