Mambo Manne (4) Ya Kuyaepuka Jumatatu

preview_player
Показать описание
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

ahsante nabarikiwa sana na mafundisho yako

bitemwita
Автор

Noted!Nitafanyia kazi hasa kushare vitu vibaya.Ahsante sana / somo zuri.

meshackngadango
Автор

Asante sana kaka kwa somo lako mungu akubariki

bonacnota
Автор

Ahsante MUNGU kwa kutuletea Kaka Joel mwalimu mzuri anae eleweka kila ambacho anatufundisha MUNGU akubaliki kaka

PetroboyHamiss
Автор

Asante san my brother nimejifunza vitu vingi sana kutoka kwako na nimeanza kufanyia kazi sasa maisha yangu naona yanabadilika sana kupitia video zako Asante san

frankmsangi
Автор

Asanteee sana brother Joel .. umenifungua macho . ubarikiwe sasa wacha nianze ukurasa mpya na Mungu atanisaidia

mammyali
Автор

Asante mtaalamu mimi jtatu yangu huwa inahatibiwa na kiongozi wangu ni kama anaona umepoteza muda siku ambayo haikuwa ya kazi atakutafuta mf jpili kwa simu na kukusemesha maneno.makali na kukata simu huku hujui kitakachoendelea. Basi unalala na stress na hujui jtatu mtaianzaje kwa kweli ni Shida kubwa naomba ushauri

elizamjema
Автор

Asante sana Sir Joel Nanauka Iam changed kutoamka mapema haitaniharibia jumaa tatu yangu

nigenechristine
Автор

Always nawahi kuamka bt najikuta nachelewa kufika sehem husika kwa muda muafakq

marrymagabe
Автор

Daah bro umenibarki xna, cuz ulyoyaongea n ukwel mtupu, Kwan Kat y cku ya j3 nlyowah kuamka ni leo na nmewah pia kufka job n kaz had sasa naifurahia

gracevalentine
Автор

Hili la kuamka mapema muhimu sana kulifanyia kazi hasa kwa watu wote ni kweli mambo huaribika asbh na sio mchana nimekuelewa sana Mkuu

nagunwashadrack
Автор

Kak nikwel mim jumaatat nakuwa na izarau san

mangrove_restoration
Автор

Namba 1.
#Kuepuka kuchelewa Kuamka.
Nitahakikisha naifanyia kazi hii kwanza hadi niifanikishe.
Ahsante sana Kaka yangu Joel.

eliudimwigi
Автор

Kuchelewa kuamka kunanigharimu sana, asante Mwalim Joel

beatricetv
Автор

Mimi yani hua nakuwa taabani kabisa, nitafanya mabadiliko aisee

shukranjulius
Автор

My wife is a banker, Huwa namwona anapata shida sana inapoonza J3 toka anaamka hadi anafunga kazi.. Naamini hii elimu itamsaidia sana ku enjoy from monday to monday.. Thankx Sir

babalois
Автор

kuamka mapema mm kwangu ni tatzo sana dah

nshomasesaguli
Автор

apa nimejifunza sijawahi Waza hiliii....

nickdr_tv
Автор

Daa namshukuru sana but
Jumatatu nakuwa very disorganise

zakiamsuya
Автор

Shukran sana natamani ningekuwa kwetu Tz ningekuwa mbali sana kwa kufuata Elimu yako. Mungu akubariki sana kwa kuelimisha jamii.

faridamkesso
join shbcf.ru