NONDO ZA BISHOP MABOYA UTACHEKA MBAVU ZIUMIE

preview_player
Показать описание
Mtumishi wa Mungu Askofu Mkuu wa makanisa ya CAG Mtume Dr. Dunstan Maboya akiwapa watu Neno la Mungu waliohudhuria kwenye Msiba wa mzee Williams Bunduki Mchome Mjini Arusha. utacheka sana namna anavyohubiri katika namna nyepesi sana ya watu kuelewa.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

SALUTE BISHOP UR NOT ONLY A PASTOR BUT ALSO A REAL LIFE COACH✊👍.

jacksonmichael
Автор

Sema Amina!!! The chief of Apostles in Tz. Injili na Kucheka

HAAM
Автор

Mmoja atachukuliwa mwingine ataachwa, Mungu atusaidie

amermakeny
Автор

Apostle Asante Sana umenikosha Sana.nimejifunza Vitu vingi Barikiwa sana

mtanzaniahalisimungunimwem
Автор

Barikiwa sana baba, tunakuhitaji sana katika kizazi Cha Leo.

mpandawiliam
Автор

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nondo zote izo hakuna hata comment du ubarkiwe mtumishi

brownmkane
Автор

NAKUPENDA SANA MZEE WANGU NIMESIKILIZA MPAKA MWISHO, ASANTE ROHO MKUU...WATU HUWA WEPESI WA KUCHEKA, NI VYEMA KUELEWA

mathayomwashambwa
Автор

Hakika wewe mtume wa Mungu nimekuelewa Baba

winnerschapeltabora
Автор

achumani achumani umekuja mwenyewe umeondoka mwenyew

nehemiamartine
join shbcf.ru