KAJALA NA HARMONIZE WARUDIANA HAMISA MOBETTO AWAPATANISHA ATANGAZA MSAHAMA KWA WOTE DIAMOND NA PAULA
Комментарии
Mhhhmmm, hivi nyinyi wa Tanzania ambao munaitwa wa Islam mbona muna jifananisha na makafir, kwa sisi Waislamu inavotakiwa tukipata furaha tunatowa sadaka na kumtukuza M. Mungu kwa kufanya dua sio ngoma na kutembea utupu kama haya tunayoyaona hapa
jokhaali
Hawa wanajua a bwana!!! Wamesema Cuba wote Haji na ukiona hivi wanaweza kuwa wanapotezea story ya mji umzumgumzie juma na tena umeona kasemaje??? (Nampenda) na ana range sport!! Kumaaniaha anapambana kwa akili! Sio Kama mzigo wa. kelele Kama mwijaku na baba ufupi amewasuta mwijaku na baba Levo