MSANII FOBY AJITOKEZA KUCHANGIA DAMU MUHIMBILI/ KESHO NITAUPIGA MWINGI SANAA...

preview_player
Показать описание
Kuelekea mchezo wa Kesho March 19/2022 kati ya Yanga Sc na KMC Viongozi na Mashabiki wa Klabu ya Yanga Sc wametembelea Hospital ya Taifa ya Muhimbili..

Eng. Hersi Said ameeleza hali ilivyokuwaa hospitalini hapo bila kusahau maandalizi ya michezo yao ijayo ikiambatana na Tamasha lao ambalo watacheza Viongozi wa Yanga na Wasanii…..

#yangasc #muhimbili #kmc #mpenjatv
Рекомендации по теме