Mji wa yerusalemu unatambulika kama mahali patakatifu

preview_player
Показать описание
Mji wa Jerusalem unatambulika kama mahali patakatifu katika dhehebu la uyahudi. Maelfu ya waumini hukifika hapa kufanya maombi. Stephen Letoo alizuru mji wa jerusalem nchini Israel na kutangamana na waumini katika ukuta wa hekalu unaotajwa kwenye bibilia na sasa anatupa simulizi kuhusu aliyoshuhudia.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

You will never be the same my brother in Jesus name

mamablessings
Автор

I like this journalist. No. 1 kenya and East Africa

profdariomurama
Автор

Congrates Stephen..I will be in Israel June, 2023 God willing

isac
Автор

Amen Amen, natumai umekumbuka wakenya wote kwa maombi siku hii takatifu

husseinnassir
Автор

Nice coverage @Steve Letoo 🥰. Am Revisiting the history to read more about the place

elviskibichi
Автор

Wow! This is great i love it@ Steve Lettoo thanks tu sana

Fideldelicacieschef
Автор

The sweets sound of letoo Kenya well represented

martinmwangi
Автор

Letoo ningekuwa mtoto ungenifanya nikuwe mtangazaji aki, may God bless you abundantly

dansonmunga
Автор

Good work Stephen letoo, life will not be the same again 2023.more blessings

philipkitavi
Автор

asipokuwa mweslamu hakubaliwi maombiyake mbaka atakaye Kiri kwa moyo naulimi kwamba hapana mwala apasae kwabudiwa kwahaki isipokua Allah na Muhammad nimtume wake na yesu nimtume wake sio mtotowa Allah Wala hakufa Wala hakusulubishwa na mwisho waislamu wanao Fanya cityzen Ali na mkewe nawasalimia asalamaleykum warahmatullahi wabarakat Kisha nawapa nasaha hafai kusema nimeombewa na asiyekua mweslamu Kisha aitikiye hio ati amen hioni bida so tufwate mafunzo ya kislamu na Quran na Hadith za mtume wetu mohamad salallahu aleyhiwasalam shukrann

kamudu
Автор

Aiiii weee hii dunia mta tuoyesha mambo. Wenye atuwezi fika Jerusalem ama mecca atutaigia mbinguni.?? I thank GOD he answers my prayer in my room.

janet
Автор

Letoo you're my best journalist especially on your coverage

josephotieno
Автор

This is total bondage and idolatry, I just texted without having watched the video as I was led by the Spirit but oh my, total idolatry as the Spirit speaks truly, oh I cry I cry i cry truly it's in bondage with her children, sodom and Egypt truly for they don't know Jesus Christ for the Way is as simple as Christ to be Holy and Righteous a child of God, justified freely by the Grace that is in His Son Jesus Christ. Oh this is idolatry my God my God my God

allsoulsforjesuschrist
Автор

It's a lesson for Africa to preserve our beliefs and keep them for our generation .

CharlesKibabai
Автор

May the grace of God in the Highest, His Holy Son Jesus Christ and the Holy Spirit spread out to the whole world. 🙏

khaminwasamwellichina
Автор

Good coverage guys, very nice. Thanks a lot

stevek
Автор

Kwa hiyo yesu hakuwahi kuingia kanisani, huko yerusalemu hakuna kanisa

MusaYusuphu-yl
Автор

Steven Letoo aliingia hadi kaburini 😅😅😅 wueeh . well done lakini

Mark-tzst
Автор

Napenda hii flow ya taarifa ya letoo keep it up bro

ezeckywillian
Автор

Kama niya Palestine waende wachukue Jerusalem is the city of God Galatians 4_26

antonykarani