RAYVANNY Alivyopagawa na MIUNO ya Mrembo huyu/Ammwagia MIHELA Jukwaani LIVE

preview_player
Показать описание
Hii hapa Show ya Rayvanny kwenye tamasha la Serengeti Lite Gwambina Lounge Jijini Dar es Salaam
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
---------------------------------------------------------------------------------
---------------------------------------------------------------------------------
-----------------------------------------------------------------------------------
#Rayvanny
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Bless bless young boy angu❤🎤🎙️.. Mungu akuinue zaidi na zaidi... Endelea kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana.

DavidKamena-ie
Автор

Chui Safi sana, kipaji na hela.hongera kaka

dullahabdallah-nupy
Автор

Ryvanny ni mnoma adi ana tengeneza song kwa Stage.wah kaliii.

bonny_kenya
Автор

Wadada samani zetu zimeshuka san mungu tu naitaji mkono wako peke yetu hatuwez

mwajumahamisi
Автор

Salute my G harmonize 💥nakukubali daily

Trapking-cd
Автор

Nakubali sana kijana unaupiga mwingii 💯💯

gasto
Автор

Eti hiyo miuno ifike wasafi imfikie chibu, rayvan huwa anamchokoza sana diamond

yusternyirenda
Автор

Mbona wasichana wa Kenya wako na viuno vigumu kama maisha yetu watanzania

slowclimbertothetop
Автор

Mm nimebakisha kiuno cha kitandani tu niwe na mme wangu sio cha kuonasha watu najuwa ikifika chumbani ni ngongo mwali mungu aniepushe na hii hali ya kujiweke belebele pasipo na fainda

fatmahmkuzi
Автор

Ktk mabaunsa wa next level music km nimemuona mwanangu Azizi Membe.!

omaryshomari
Автор

Kumbe kawimbi kakali nilikua nakazarau kuplay nimekusa kumbe akina pweza wa kutabili mapenzi nawo wapo salute to you guys 👍

IbrahMoyo
Автор

The most multitalented artist in East Africa

yojoruta
Автор

Rayvnne il avait un problème de téléphone afin que nous puissions

MugwanashakaAlex
Автор

HAhahhaa Ravynny Unawasanya BAba 😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

josephatkipkemei
Автор

Aaaah watanzania bwana hamjui chochote
Njoo Kenya kisha uchague hivi tu utaona moto bwana

hellentoz
Автор

What were they real doing😅😅 anyway much love to Rayvanny❤

irealyxchamdori