JINSI YA KUSAJILI JINA LA BIASHARA AU KAMPUNI KWA USAHIHI

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ndg zangu na wahudumu wetu wazuri mungu awalinde, mm ninashida kuna kampuni moja ya mikopo online imenidhulumu niliomba mkopo kupitia mo foundation pia walitaka niwe na akiba kulingana na kiasi ninachotaka nmelipa hiyo akiba pamoja na malipo mengine imefika laki mbili baada ya kukamilisha mpaka leo sijapata ni miezi minne sasa

ahmedimghwira
Автор

Asante sana, nimeelewa, nina ndoto ya kumiliki Kampuni, siku moja nitawatembelea.

obadiamakoko
Автор

Asante sana, naje unaweza sajili jina la biashara na badae kubadilisha kuwa kampuni?

EmmanuelWilliam-qc
Автор

Mbona hapa morogoro kwenye maonesho ya tiba asili ya mwafrika hamjafika wakati wadau tulikua tunataka kusajiri jina la biasha?

sulemanjafari
Автор

Asante sana...lkn vp naweza kusajili jina la biashara?

sakinaabas
Автор

Kwakeli mi huwa nashangaa sana yaaa kusali kampuni tuuuvinachukua mpaka siku 2

DanielSamike
Автор

Naombeni mtusaidie namna ya kusajili biashara kwa njia ya mtandao

JacksonShirima-mwui
Автор

Mtakuwepo pia Nyakabindi Simiyu kwenye maonesho ya NaneNane

KelvinEmersonSteven
Автор

nikijaribu kuandika jina la kampuni naambiwa siyo sahihi nifanyaje hapo?

alexlemanga
Автор

Naitaji kujisajiri naweza kutumia neno gani kama utambulisho wa kufahamika

ShabanKarumie-nuxo
Автор

Mi ni fundi ujenzi naitaji kujisajiri.

ShabanKarumie-nuxo
Автор

Nataka kusajili ila biashara yangu ni shulee itafaa

EmmyMollel-vfnq
Автор

Nahitaji kubadilisha jina ila linakataa nashindwa kumalizia

Vice_Tz