Diamond Platnumz alivyolizindua rasmi duka jipya la GSM

preview_player
Показать описание
Leo March 31 2017 hii ni nyingine tena kutoka GSM ambapo Diamond Platnumz amezindua duka jipya la Nguo kutoka GSM lililopo Mlimani City Kama balozi wa GSM, ni Duka la kisasa lenye bidhaa za kisasa na zenye ubora wa hali ya juu.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

#ChibuDee ndani ya nyumba tisha sana aisee CORTEFEIL hao watu vitu vyao hataree nawapata sana big up mtu wangu WA nguvu #MillardAyo endelea kutuweka updated

hassanovajunior
Автор

INSHAALLAH maana mm chupi ya 5000 naiona hali japo nanunua mara 1, 1 kwa mwaka

ashahaji
Автор

Kuna viatu vya ngozi vya Ahsante millard AYO kwa taarifa hii

halimambwego
Автор

hahahaha hassan weee ucniache hoi mie duuuu hii kali bora ni nunue debe la hahindi tu yani duuuuhu

hongerakkachawasemewwkzbut
Автор

Mungu awe nawe millard ayo pamoja sana habar zako zauwakika

fafi
Автор

Jamani wana mashine za kukamulia juice ya miwa hapo?Naitaka sana .

katarinawilliam
Автор

MIMI NIMECHEKA HAPO 1:45 EMBU MTIZAMENI HUYO MZUNGU ANAFANYA NINI😂😂😂😂😂😂😂😂

adismas
Автор

Diamond sio mchezo nakuona yaani duka utafikiria ni Dubai

julianjulian
Автор

ngoja niulize nyie simumefiwa au ndo, sadaka imezaa duka

valentinamussa
Автор

Na joto lote la Dar. Vijambia koti vya nini. Wata watazimia kwa fasheni. Doh...!

sweetmama
Автор

all the best but chibu wacha kuramba ramba mdomo kwani umekauka ckuzote nunua crime ya mdomo ya wanaume ziko nyingi sana hutumia wakati wa snow wa baridi acha hizo.

ifgodsayyes.nobodycansayno
visit shbcf.ru