Nasheed: YAMENIKUTA (Alwan K. & Khamis K)

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Dah! Mashaa Allah khamis k na alwan wametuwekea ujumbe mzito kuhusu wazazi hvyo tunapaswa tuwe makin Sana na wazazi wetu jaman Kwa ujumbla hongereni new star record Kwa ujumbe mzito

ahmoudalbahsany
Автор

Khamis K na Aalwan K nyinyi mtu na mdog wake ama MashaAllah MashaAllah niliahid zawadi kwako na nikatekeleza nahii naahidi tena kweenu MashaAllah MashaAllah

bakarfarsi
Автор

mashaallah! naomba tusiwaswahau wazazi wetu na ndugu zetu pindi tunapofanikiwa tuwe makini sana katika swala hili

nicodemusmathias-gn
Автор

sio poa leo umeentia mafua kwakweli niw mkwel bro Khamis K ujumbe nimzutoo😭😔😔

magashazaz
Автор

Mama Samia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa heshima na taadhima vione vipaji hivi na uwasaidie.
Hawa vijana wanaielimisha jamii lakini hawana mfadhili Wala muhisani yeyote wakuwawezesha.
Nimatumaini yangu kuwa uupatapo ujumbe huu mama utawasaidia hawa vijana ili wazidi kuyaendeleza mafunzo haya ambayo ni elimu tosha Kwa jamii.
Pia nimatumaini yangu kuwa watajitokeza wafadhili watakaowrza kuwasaidia ili hazina hii isipotee na iendelee kubakia.
Wabillah Taufiq.

Kokhaako
Автор

Jamani nimelia hakika hu ni ujumbe umefika na ni fundisho kubwa Allah awalipe ujira mwema kwa elimu mloitoa

suriamaalim
Автор

Kongole kwako khamis k na alwan k na studio 🎙️ yetu kwa kazi kubwa sana hii ni kazi ya Dunia nzima kuwahi kutokea ❤❤ lkn ulivyotekwa kijana wangu umenichekesha sannaaa😂😂😂😂😂😂 director pia amefanya kazi kubwa

khalefcanal
Автор

MashaAllah MashaAllah MashaAllah Nasheed nimzur imepitiliza

asiak
Автор

Hivi kweli hakuna wafadhili wanaoweza kuwasaidia Hawa vijana .
Tuseme serikali nayo imtia pamba za masikio na pia macho yao hayaoni siamini siamini.

Kokhaako
Автор

Ujumbe mzr Maa shaa Allah, kuwa mbali na family zet isiwe sabb y kuwsahau wazaz wet😪😪

bisharamassoud
Автор

Kazi ina mafunzo makubwa sana Allah atujaze mapenzi na wazazi wetu inshallah

hashyatkid
Автор

Mashallah mashallah kazi kubwa sna na ujumbe mzur wa kusisimuwa nawakubali sana

ibrahimammar
Автор

💕💕💕Ma sha Allah💞💓
Jmn wazaz ndio fungu ndio ngao barka pepo tuwe makin sana hapa
💯💯💯💯 fantastic ☺️

lutfiakombokhamis
Автор

Huwezi kuishi bila radhi za wazazi
Ya allah wajalie wazaz wet wawe miongoni mwa waja wa peponi
AAAAMIN🤲🤲🤲🤲

shadiashaaly
Автор

Dah! Kwakweli ni lazima udondoshe chozi yaarabby tunusuru na janga la kudharau wazazi

abdyali
Автор

Mashaallah kazi nzur sana hongera sana . Allah awaepushe na hasad za walimwengu

jokhasalim
Автор

Mashallah mashallah nimependa ayo mapish tu mm 😋😋😋mko sawa lkn Allah awabaariki🤲🤲🤲

mamzain
Автор

Mashaallah mashaallah kazi nzur 💯💯💯❤️❤️❤️

ukhtyshuu
Автор

Hongereni sana Khamis K na Alwan K nasheed inasisimua haswaa

jokhakhalifa
Автор

Hakika nimeshindwa kujizui😭😭😭😭😭 inasikitisha na inahuzunikasha ujana unatuhadaa tukishapata kipato tunasahau wazazi mashallah Allah awazidishie vipaj vyenu mzidi kutufaisha kwa hili na lengine pia nawapenda san Kwa ajili ya Allah

bintyalliy-boqx
visit shbcf.ru