Waziri Magoha akanusha kuwa kemikali ya Xylene ni hatari

preview_player
Показать описание
Licha ya mwanafunzi huo kuwa mgonjwa baada ya mtihani wa kemia ambapo ubishi uliibuliwa kutokana na matumizi ya kemikali aina ya Xylene, waziri wa elimu Profesa George Magoha na katibu wake Belio Kipsang wamesisitiza kuwa hakuna mwalimu wala mwanafunzi yeyote aliyoathirika na kemikali hiyo
Рекомендации по теме