ASTAGHAFIRULLAH HII NI LAANA ILIYOTOKEA JAMBIANI

preview_player
Показать описание
fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.

#HabariZaUhakika #Zinjibartv

Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv

Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 878 523
+255 773 071 409

Zinjibartv Journalists

cc: Safia Hussein
cc: Swaleh Watamaama

Camera Department"
Muarabu Mmadi

Editors:
Ali Hassira
Ramla Haji
Abdillahi Said

Dereva
Ali Mohammed

Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Na mambo hayo si kwa wageni tu hata wazanzibari wenyewe wanafanya hadhatani tembea kwa hani na miembeni utayaona

maryamalli
Автор

Utalii sio tatizo hakuna nchi duniani isiotembelewa lakini tatizo Zanzibar haijaweka Sharia za kuulinda utamaduni wake

maryamalli
Автор

Zanzibar njema atakae na aje hayooo ndio maendeleo

harouniali
Автор

Inalilah wainailahi rajiuun jamani zanzibar mko wapi nchi yapotea watoto waharibiwa😭😭😭😭😭😭

fatmasalim
Автор

Mana ndio kinacho hangaikiwa watu wapate wafanye yao wawekezaji kumbe kuna sababu siri mungu atulinde na Lana hiyo wafanye kila jamii ikiwaona

someparuranga
Автор

Jaman jaman nishasema sanaa tuwe makini na hawa wageni si kila mmoja anaekuja zanzibar eti amekuja kwa kutalii bali wengi wao wanakuja kwa kuharibu tamaduni za Kizanzibar

hashilfarahany
Автор

na watu wanawaaangalia tu wasiwapike bakora

maryamsimai
Автор

Yani una sema ufanywe uchunguzi wakati mpaka tuliko tunaona hakuna sheria

someparuranga
Автор

Mme yataka wenyewe asaiv tulieni tena mnasema nn

avalonking
Автор

Laanatullah ALLAH atuhifadh tusiwe wenye kuig hii laana tustir maulan

tashmaorg
Автор

Mambo yao wafanye wanako toka wakija Zanzibar wache kwao cyo hazarani ndio wesha tangaza utalii wake yajayo ndio hayo mengine yanachukiza

someparuranga
Автор

Nahaya hufanyika kwa wenyeji weshagaiwa vidola tunaenda wapi viongozi mnazima mnapoteza Nina lazanziba unajiachia kwa maslahi yenu mfungieni hata huyo alie miliki hotel I na faini juu

someparuranga
Автор

Na nyinyi watu wa huko badala ya kuwapiga mikwaju mnawapiga picha wajinga wakubwa

khamisjuma
Автор

wala msiseme kwacha unafiq haya nyinyi serikali ndio mnawaruhusu nyie wenyewe mnaona faghari mnachukia mdomoni moyoni mnafurahia kisha eti ALLAH alete kheri nchi hii mmechelewa

suleimanbakar
Автор

Wageni munawaleta wenyewenu xx munashangaa nn?

noffelsalim
Автор

Huu utalii ambao wa mkuranga anaupigia debe waje kuekeza sasa ndio yanaanza hio bashrafu mziki wenyewe bado tutalia badala ya utali

rafaelmarquez
Автор

Wekeni sheria ziwabane wazaliwa nawageni kazalika kutali mpaka wafanye ubarazuli mungu kuna wakati hicho kisiwa ndio kitakacho biruzwa mwanzo dunia hii

someparuranga