Mzee Shayo: Je siti ya mbele ya gari anapanda mama au Mke

preview_player
Показать описание
Mzee Shayo ni mmoja wa wachekeshaji maarufu nchini Tanzania ambaye mtindo wake wa uchekeshaji na uvaaji umekuwa kivutio kwa wapenzi wa vichekesho.

Hapa anajibu maswali matano chap chap! Msikilize

#bbcswahili #tanzania #comedy
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

😅😅😅yaani hiyo ni mixing😅😅 wachaga oyeeee😅

deboramuhoja
Автор

Ata kwenye kufunga shati atakuwa tu shabiki wa alikiba 😂😂 Huyu sio msafi

Rammy-kc
Автор

😂eti mbele vinakaa vitu vyangu vya msingi😂
Ko mama na mke sio

Gospo_beats
Автор

Mzee shayo kwenye Mixing ya Mbege na Bia umetuwakilisha vyema

Rasoulhk
Автор

Ilo shati alivyofunga vifungo tu nikagundua ni mzee wa kukurupuka akiamka😂😂😂

HabibaLukinga
Автор

Miaka 80 atafute milioni 80 ndege unachanganha kwenhe biya alikiba ana mambo mengi saluti from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

MartaJanuario-qp
Автор

Hata vifungo vya shart jamani hujafunga vinzuri

tinnahagustinolyelu
Автор

Miaka themanini nitafute Milioni 80
😀😀😀😀😀😀

ramadhanimtetu
join shbcf.ru