Mrisho Mpoto Ft Kassim Mganga - Kitendawili (Official Video)

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Miaka 6 mbele lakini bado hii nyimbo inafikirisha sana.
Kitendawili Mjomba

shakurfaith
Автор

nmekuelewa sana dingi, hebu ngoja nami nisubiri banda lijae mana nmechoka kula marage! si mimi tu hop watanzania wote labda tuwe na subra daaah! nmekuelewa sana sjui ka wamekuelewa ka umemsoma Mjomba gonga like kuonyesha umechoka marage

azizymachadeson
Автор

nimekuelewa sana Mrisho Mpoto hahahhaahha wana fasih mko kumpa likes

avirlkagisa
Автор

KUKU ANAE TAGA ACHIJWI AKICHIJWA MSIBA.
TUSUBIRI ATOTOE TUHESABU VIFARANGA NA MAYAI VINZA.
HESHIMA AKO MPOTO.
AWAIJUI MIIKO KUA SI WAFUGAJI UKUTA VIMETEGWA KWENYE SAHANI.

mwitajames
Автор

Kwa watanzania tunaolaumu vyuma vmekaza(kuchoka kula maharagwe) tusubili mafanikio ya miradi hii inayowekezwa kwa sasa (tusubili banda lijae)

isackamgavilenzi
Автор

Twasira kamili inadhiirika Nyumbani +254 kwasasa.sijui tuzike au tehesabu idasdi ya maiti zinzotembe kwanza.Mjomba natamani tukutane kumikumi kwa Wallah Bin Wallah kwa mara nyingine mwaka huu.

robertohtesh
Автор

Dah shida kuku anataga tu miaka inaenda sasa sijui lini anaatamia aje atage ndo tuone ivo vifaranga

fabiansolomon
Автор

nipo zimbabwe sijui kiswahili ila ngoma nimeielewa gonga like kama wewe ni wazimbabwe

kisshydirector
Автор

Kama hujui ilipo bahari tumia mto kwenda😂😀nipo Kenya nakupenda Sana mrisho

calistobwire
Автор

wapo wanailia kuona mcba upo kwao lakin muandaaji ni fasihi tamu saan like u mjombaa

athumanyohane
Автор

Apewe tuzo huyu MRISHO au mnasubir afe mseme tumepoteza jembe

sethstiven
Автор

You are the best in Africa my father only you you are last Odia Warrior in Africa more people have to suffer more people have to die don't ask me why it is Africa natural mistake

yasinamiri
Автор

sina budi ya kukupa saruti 200% kwa kazi mzuri sana mazee

mtikasaidi
Автор

Sasa, na vp wale waliokua wanaish kwenye nyumba bila kutupa taka wala kwenda chooni. Au yale mashimo yaliyochimbwa, yalishafukiwa?
SIZONJE..! Hiki ni kitendawili. Lkn je, utakitegua au utanipa mji ili nikutegulie?

Salute mkuu. Naamin tunaokuelewa ndo uliotulenga kutupatia ujumbe huu.

dbornchambilo
Автор

Mjomba wimbo ni Mzuri sana ila huwa natumia muda mwingi sana kuelewa. ...I have dream...want to meet you one day. nahisi siku hiyo maswali yangu yote yatapata majibu sahihi.

zachjoshua
Автор

mmmh yaan nmebaki tu kuangalia mapicha picha maana sielew

sultanisengi
Автор

mjomba umetisha maneno yako najaribu kutizama kwenye TUKI mbona bado sielewi jamani? Mjomba kama ndo ivo mi naenda zimbabwe!!!!

kennethkapanga
Автор

Kwel akunyosheae kidole hakawii kukuchapa kofi

shedybrown
Автор

Kama tumechoka maharage, tusubiri basi kwanza banda lijae ...

ha ha ha nadhani baada ya miaka saba litajakuwa limeshajaa, mitatu iliyobaki tutaanza kubadili mboga. 🔥🔥🔥👊👊👊

LIKE kama umemuelewa MPOTO!! 😃😃😃

ibbu-tz
Автор

Baba was Fasihi Andishi na Simulizi huyu.

Naipenda sana lugha yangu ya kiswahili na hakika fanani huyu huwa haachi kunikosha hadhira mm. Kazi nzuri

platotaurus
visit shbcf.ru