WAZIRI WA ZAMANI AFARIKI, FAMILIA YASIMULIA CHANZO

preview_player
Показать описание
Waziri wa zamani wa Katiba na Sheria, Bakari Mwapachu amefariki dunia leo alfajiri February 12,2021 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu, Msemaji wa Familia Bashiri Mwasora amethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Balozi Bakari alikuwa mugonjwa kwa mda murefu. Katembea South Africa, India kwa matibabu. Hakufa ghafla bali aliuguwa kwa mda mrefu. Semeni kweli musitie watu hofu. RIP Balozi Mwapachu

gracemima
Автор

Hajaingizwa kwenye idadi ya watu waliokufa 19- covid , ukifa siku hizi hata ukingongwa na gari unawekwa kwenye covid

MikereMio
visit shbcf.ru