EXCLUSIVE: HAJI MANARA USO KWA USO NA MZEE SUNDAY MANARA AFUNGUKA KUHUSU SOKA LA ZAMANI KWA UNDANI

preview_player
Показать описание
Sio Rahisi kuona Interview ya Baba na Mwana,,.huwa haitokei kirahisi rahisi duniani na hata huku kwetu labda ni Rekodi pia,,lakini Manara tv time tumethubutu

HAJI SUNDAY MANARA na Baba yake Mzazi SUNDAY MANARA,, kwenye Exclusive interview Ya kikubwa ,,
Hosted:Haji S. Manara
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Sunday na Mpira Sunday na Mpira kashuti Wahenga Ndio tunaelewa hii comment nimeandika

nururaymond
Автор

Huyu mzee yuko very humble. Napenda sana kumsikiliza akifanyiwa interview

luqmanothman
Автор

Sunday you're so professional in response, you know how to respond on questions I like the way you flow

shijamakoye
Автор

Big up Haji umekua kiakili Sana hii interview sijawahi kuionaa

rashidjuma
Автор

Allah akuzidishieni upendo juu yenu Inshaallah

rukiakyaka
Автор

Kazi nzuri Manara ila ingekuwa aula zaidi kama tungeona picha (covershots)za hao wanaojadiliwa.Mumetuacha gizani hatuwajui

ahmedbahajj
Автор

Hongera sana mdau wetu wa michezo hususani timu yetu ya wananchi Yanga tupo pamoja tunakuuunga mkono asante Mungu akubariki, amina na RAMADAN KAREEM.

yohanasiminzile
Автор

My favourable player at our time. Mchezaji aliecheza kuleta ushindi Kwa akili bila madhara kwa mtu.
Thank you Haji km ingewezekana tusikie pia mahojiano ya Boban, Kassim na King. Umenielewa🤓

missarepafra
Автор

Saf nimeipenda sana 💚💛🙏🙏 hiyo ya Baba na mwana🔥🔥🔰🔰🙏🙏🙏

ashuramhandoashuramhando
Автор

Kaka uko sawa sana...

Sorry hapo mwanzo wa kipindi itapendeza sana kama utampatia nafasi mgeni na kujitambulisha ili watu wapate kumjua kiasi then ndo maswali yaanze....
Ila safi san. 👍👍👍👍👍

nadarissa
Автор

Hongera sana Haji Manara kwa kuanzisha TV yako. Huo ni mchango mkubwa sana ktk maendeleo ya mpira wetu nchini. Sasa itabidi ubadilike uwe neutral katika aidha kuchambua mpira au kuelezea mpira wa nchi hii kwani huo ndiyo ukubwa. Vinginevyo sisi Wanasimba hatutapenda kufuatilia video zako kama utakuwa na ubaguzi.
Hata hivyo Manara na Manara hamumtendei haki Manara.
Ninamaana kwamba Baba na Mwana mlioko hapo mnamsahau vipi Kitwana Manara kuwa miongoni mwa wachezaji bora kabisa kutokea katika timu ya yanga na timu ya Taifa kwa ujumla wake. Ukizingatia kwamba alianza kucheza kama mlinda mlango hodari sana na baadae mshambuliaji wa mbele wa kutumainiwa; labda mumeshindwa kumpa sifa anayostahili kwa kuwa ni ndugu yenu.

Haya niwakumbushe nyota wengine wa wakati huo na nyuma kidogo ya hapo. Zimbwe, Chuma wa Mtwara, Hassan Gobbos, Lukongo, Gilbert Mahinya, Arthur Mambeta, Shabani Baraza, Athumani Mambosasa, , baadae wakaja akina

charleskuyeko
Автор

Mungu awape umri mrefu na siha njema baba na mama.

AMRIMZEE-dlzq
Автор

Story anayo elezea sunday Manara mimi nilikuwa bado mdogo lakini nilibaatika kuwaona kwa macho yangu hao wachezaji wote aliyo wataja.Sunday Manara Atabaki kuwa best player wa East Africa

mohammedkindi
Автор

Mbona KASSIM MANARA hatajwi Alikua Striker mzuri sana

minskbelarus
Автор

Sasa mzee mikono aitoki mfukoni kuongea mnafanana big up haji b cool and and free

hajjiomary
Автор

Sauti imezaliwa tena. Absolutely baba na mwana maashallah

ALIMOHD-bklr
Автор

charnal yenu mbaya sana na hasa ulivyokuwa mtangazaji sasa

kassidpandu
Автор

Wewe mhuni sana jamaa nakukubalii sana

abuubura