MAJI ARUSHA || RUWASA YAANZA MRADI WA MAJI WA BIL. 1.1 NGORONGORO

preview_player
Показать описание
Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) umeanza uchimbaji wa visima 13 vya maji katika kijiji cha Malooni kilichopo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha.

Mkurugenzi wa kitengo cha uchimbaji visima vijijini Simon Ngonyani amesema wanatarajia kukamilisha kazi hiyo ya uchimbaji visima ndani ya miezi miwili.
Рекомендации по теме
visit shbcf.ru