filmov
tv
Waziri wa zamani, Dkt. Ibrahim Msabaha afariki dunia

Показать описание
Waziri wa zamani kwenye serikali ya awamu ya nne, Dkt. Ibrahim Msabaha, amefariki dunia leo Dar es Salaam.
Marehemu Msabaha alijipatia umaarufu mkubwa kwenye sakata la Richmond ambalo hatimaye lililazimisha kujiuzulu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, na Waziri Nazir Karamagi.
#AzamTVUpdates
Wahariri: Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
Marehemu Msabaha alijipatia umaarufu mkubwa kwenye sakata la Richmond ambalo hatimaye lililazimisha kujiuzulu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, na Waziri Nazir Karamagi.
#AzamTVUpdates
Wahariri: Onike Masayanyika, John Mbalamwezi