filmov
tv
Dwin ft Kimbunga - Niongezee (Official Music Video)

Показать описание
NIONGEZEE is heartbreak song that brings out "Bongo fleva" taste in its rawest form with a soulful guiter melody that carries so much emotions whilst telling a deeper story of how a person can know love in its fullest and also manage to experience heartbreak in its deepest.
LYRICS
Waiter naomba niongezee
Nipunguze mawazo niongezee
Leta tena
VERSE 1.
Have you ever fell inlove
Umewai kupenda skia
Ubavu wako wa kushoto ukampa na wa kulia
Ukaweka moyo kwa sahani afu ukampakulia
Ukamwambia yote unayotaka mi nitakufanyia
Nilizama wallahi mauti uniite
Tafuta anapo lala pembeni mimi unizike
Maana nikiwa naye basi kusikuche kesho isifike
Umewahi kuona siku haiendi unasubiri simu iite
Unaanza uliza why ukweli haujai uwongo haufai
Usiku ninakesha ukwapi usingizi hata unisabai
Akili ilihisi moyo haufai moyo ulaghai
Unagundua kuwa all along she lied
Ulizani njiwa kumbe mwewe
Waiter niongeze nataka nilewe
Unaweza pendwa kiasi kwamba ukajjhisi uko mwenyewe
Kumbe kuna wakwanza wapili watatu alafu ndo wewe.
Chorus
Waiter naomba niongezee
Nipunguze mawazo niongezee
Leta tena
Verse 2.
Yeah
Have you ever fell in_?
Forget it umewai umizwa
Nje jua kali sa mbona we kwako giza
Hata mwanga ukirudi vivuli we unakimbiza
Unauliza mapenzi uliyakosea nini
yanakuliza
Alafu hupati jibu hivi ndo nini
Moyo unaniadhibu dah hivi una nini
Nyongo mkalia ini mwisho wako kashaubaini
Beki zilikaba zikachomesha dakika ya tisini
She went and broke your heart in two
Kipande cha pili hukioni
Wenzake wakakwambia hauko pekeako tu mko nyomi
Wakakwambia kusoma haujui hata picha huoni
Ila moyoni we unajua hutomsahau hadi shimoni.
Chorus
Pusha naomba ninyongee
Nipunguze mawazo
Nitembezee nyonga tena
Connect with Artist:
#dwin #kimbunga #niongezee
LYRICS
Waiter naomba niongezee
Nipunguze mawazo niongezee
Leta tena
VERSE 1.
Have you ever fell inlove
Umewai kupenda skia
Ubavu wako wa kushoto ukampa na wa kulia
Ukaweka moyo kwa sahani afu ukampakulia
Ukamwambia yote unayotaka mi nitakufanyia
Nilizama wallahi mauti uniite
Tafuta anapo lala pembeni mimi unizike
Maana nikiwa naye basi kusikuche kesho isifike
Umewahi kuona siku haiendi unasubiri simu iite
Unaanza uliza why ukweli haujai uwongo haufai
Usiku ninakesha ukwapi usingizi hata unisabai
Akili ilihisi moyo haufai moyo ulaghai
Unagundua kuwa all along she lied
Ulizani njiwa kumbe mwewe
Waiter niongeze nataka nilewe
Unaweza pendwa kiasi kwamba ukajjhisi uko mwenyewe
Kumbe kuna wakwanza wapili watatu alafu ndo wewe.
Chorus
Waiter naomba niongezee
Nipunguze mawazo niongezee
Leta tena
Verse 2.
Yeah
Have you ever fell in_?
Forget it umewai umizwa
Nje jua kali sa mbona we kwako giza
Hata mwanga ukirudi vivuli we unakimbiza
Unauliza mapenzi uliyakosea nini
yanakuliza
Alafu hupati jibu hivi ndo nini
Moyo unaniadhibu dah hivi una nini
Nyongo mkalia ini mwisho wako kashaubaini
Beki zilikaba zikachomesha dakika ya tisini
She went and broke your heart in two
Kipande cha pili hukioni
Wenzake wakakwambia hauko pekeako tu mko nyomi
Wakakwambia kusoma haujui hata picha huoni
Ila moyoni we unajua hutomsahau hadi shimoni.
Chorus
Pusha naomba ninyongee
Nipunguze mawazo
Nitembezee nyonga tena
Connect with Artist:
#dwin #kimbunga #niongezee
Комментарии