MATUMIZI YA P2/POSTNOR 2/MORNING AFTER PILL/LEVONORGESTREL

preview_player
Показать описание
Matumizi sahihi ya vidonge vya kuzuia mimba kwa dharura vya P2
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nilipata period yangu trh 25 mpaka 30 September na nilimeza iyo mara moja tu trh 3 october baada ya wiki trh 10 nika bleed hadi sasa November 9 sijapata period yangu sasa inakuaje mbona periods imechelewa sana

daytoday
Автор

Kama umefanya mapenzi na hujatumia hiyo dawa....ukaja kutumia baada ya tendo kuna uwezekano wa kupata ujauzito

bahatidomy
Автор

Samahani, ,mm nili sex baada tu ya p na nikatumia p2 ndani ya masaa 24. na zikapita siku za hatari ndio nikashiriki tena siku moja baada ya siku za hatari, Sasa nahisi ni mjamzito ila swali langu ni je, mimba hiyo imetungwa lini? Na hiyo p2 haitaleta madhara kwa mtoto? Majibu plz

winfridanguge
Автор

Kwamfano nimemeza p2 siku ya 9 tangu kumaliza hedhi nikakaa siku tatu halafu nikafanya tena tendo
Kuna uwezekano wa kupata mimba

fatmamussa
Автор

Je mama anayenyonyesha anawez kutumia trust daisy??

annahsaimon
Автор

Trust daisy mf: nimeshiriki saa 10 usiku alafu nikameza hicho kidonge kesho yake saa 4 asubuhi si kuna uwakika wa kutopata mimba dr.

lucynelsonmungure
Автор

Mfano nimetumia p2 leo, , , , kwabahati mabaya nikashiriki tena siku hyo hyo ikatokea dharula kondom mlimepasuka na kamwagia ndani, VIP naweza kunywa Tena au Ile Ile itafanya kazi

dorkasedmund
welcome to shbcf.ru