Maalim Nash - Nianzie Wapi? (Official Music Video) In loving memory of Asimwe Novart.

preview_player
Показать описание
Huu ni wimbo maalum kwa ajili ya kupaza sauti kuhusu mauwaji ya mtoto mwenye ualbino ,aliyeuwawa mkoa wa Kagera na kukatwa viongo vyake. Watanzania kwa pamoja tuungane kupinga mauwaji ya Albino.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Flow 100%
Beat 100%
Lugha 100%
Ujumbe 100%

allymnali
Автор

Hip hop icyo na njaa au kiu ya pesa🔥🔥🔥🔥

Hip hop ya asili💪💪

The_Mad_Philosopher
Автор

Maalim nash Madina vina mpk uchina. umefany vzr broo sasa hii ndo hip hop innalilahi wainnalillah rajuun asimwe mtoto wetu

MudyCosta
Автор

Hii ndio kaz ya muziki wa Hip-hop sasa

jimmyx
Автор

nchi ngumu sana hiii 😭😭😭 alafu eti umpigie kura msanii unaemtaka, , , nash wewe ndio msaniii bora wa hiphop wa mda woteee✅✅✅

littlesakhoiv
Автор

Daaa kila navyozidi kuskiliza hii nyimbo machozi yanazidi kunitoka hongera kaka Nash Mc kwa hii zawadi ya uyu binti mdogo asie na hatia yoyote kafa kifo cha kinyama sana

mohamedkhamis
Автор

Wasanii Igeni Maadili ya Huyu br Nash kazi kuimba mapenzi na siasa za kifala mambo ya muhimu kimya hongera sana kaka nashi

ibrakadablaa
Автор

Darasa lingine toka kwa Maalim kwamba nyimbo sio mpaka wafe viongozi. Pa kuanzia Maalim kaweka 💯

salehemwenyevyale
Автор

WAKWANZA KUVIEW, , GONGA LIKE HAPA🔥🔥🔥🔥MAALIM⚡⚡⚡

travellahmsafirihiphop
Автор

Tumsapoti mtu huyu kwa kununua kazi zake, na sio kwa maneno matupu jamani, huyu mtu ni sauti ya umma

nakalikyumile
Автор

Hii ndo maana halisi ya Hip Hop inaelezea uhalisia wa maisha yanayotuzunguka kila siku

jamerude
Автор

From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 this song ni international mana ma albino wana pata changa moto sio Tanzania tu ila Kona nyingi za dunia Big up Brother

praymwalu
Автор

Maalim Nash ni mmoja tu.
Wengine wote ni machawa hawawezi kuongea ukweli kama huu.

Nickbrown
Автор

Tupunguze mihemko sasa tununuee albums za nash mi nnayo " tuzidi kupush na m-subscribe apo juu..ahsanteni sana🤝🤝

sembojwamaterial
Автор

Walioelewa mstari wa kipoozeo Cha Sule ni pesa gonga like hapa.
Nash Mc mziki wa kweli

TheKizuki
Автор

NAAAMH KAKA ALLAH AKUBARIKI KWA KUMBUKIZI HII ELIMU, ONYO NA UWAJIBIKAJI JUU YA UKATILI

herryshabanimakomberasimba
Автор

Mistari yenye matukio halisi ya maisha ya watu na jamii kwa ujumla inapatikana hapa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

haashimuvc
Автор

Nash ni simba..iyo beat men naikubali toka kenya nikiwa mnyama wa hip-hop hapa kwetu

bossbillionare
Автор

Wasanii wao wa kimataifa sijui wamekaa kimya??😡SALUTE BROO NASH🎉

FrankSamson-rs
Автор

Mungu ampuzishe kwa amani kwenye nyumba yake ya milele
Nash Mc shukrani sana kwa zawadi hii ya asimwe nianzie wapi kukupongeza kwa hii elimu?

mtumbad