Ahadi za Rais Ruto | Part 1 | Ukumbi - Sema na Citizen

preview_player
Показать описание
Rais Ruto azidi kutoa ahadi nyingi kwenye ziara zake huku Nairobi, licha ya ahadi za awali alizotoa kusalia kutekelezwa

Sema Na Citizen - Ukumbi

Wageni : Tim Wanyonyi - Mbunge Westlands
: Mwanaisha Chidzuga - Naibu msemaji wa serikali
: Dkt. Peter Mbae - Aliyekuwa mkuu, huduma za serikali
: Alpha Miruka - Mbunge, Bomachoge
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Chizuga ni mke wa mungatana familia za wakora.

SilasMaithya
Автор

MWANAISHA JAMENI WAKENYA SI WAJINGA HAMNA MTU AWEZAYE KUTAKASA SEREKALI HII YA UDA KWAKUA WAMEFELI!!

nicholasambani
Автор

Hizo hazikuwa ahadi bali ni uwongo ili apate mamlaka na kupea wanaomsifu cheo

Tony-imub
Автор

Tunaomba Rais awache kuahidi Sasa tunataka utekelezaji.. Sio kila ziara zake ni Ahadi tu😂.Miaka miwili na nusu imeisha kwa Ahadi tu.

lapozzydone
Автор

mwanaisha umefunga lakini unauongo mwingi sana na Mungu anakuona

ramadhanshida
Автор

Huyo mama nimuongo sana Kwa Nini utowe ahadi Leo na unajuwa utafanya mwaka ujao

ozifgiq
Автор

We have 5 years to test the promises then we have another chance to test the government performance before we contract them again or go for another regime

Stephenmumbwani-br
Автор

The consistency of ODM members singing Rutos tune is worrying

Dantefaiba
Автор

nikona tu swali moja... mbona amevaa showecap juu ya kofia?

ESTHERKONYA-bh
Автор

Tumejoka na ungongo ww mwana hahisha mungu akurehemu kutunyanyanza km ss wpiga kura

liliankemunto
Автор

Hutu jamaa anatudanganya marangapi na kwa serikali gani tuli wajulisha wanainchi Kabla ya Kufanya chochote?

Stephenmumbwani-br
Автор

Nyumba nani amepewa???
Huna haya jamani

SheeMaryam.M
Автор

Mwanaisha ni muongo awache kutudanganya

jamandakassim
Автор

Alitowa ahadi wakati hafa kuwa Rais haja. Fanya chochote

ozifgiq
Автор

Huyu mama ..is jus a parrot of UDA..WHO DOESNT KNOW what she is talking about?shame on her!

bethuelnjoroge
Автор

Huyu mwanaisha numjinga Sanaa ata natamani watu wakwao wakamsalimie juu anatetea ujinga

franciscar
Автор

Sha inamsaidia yeye mwanaisha na familia yake wala siwananchi

jamandakassim
visit shbcf.ru