MPAKA NYUMBANI MJENGO WA TADDEO LWANGA WA SIMBA ALIOJENGA UGANDA.

preview_player
Показать описание
Mchezaji wa Simba SC. Taddeo Lwanga (28) ambaye ni Raia wa Uganda ameuonesha Mjengo wake alioujenga kwao Uganda kwa lengo la kuwakumbusha Vijana wote kwamba yeyote mwenye bidii anayo nafasi ya kutimiza ndoto zake siku moja na haijalishi itachukua muda gani kuzifikia.

Nyumba hii ya Lwanga ambaye ni Baba wa Watoto wawili ni ya gorofa moja na inapatikana Kajjansi barabara ya kuelekea Entebbe “ni hisia za furaha na zisizoelezeka kumiliki nyumba hii” alisema Lwanga.
Рекомендации по теме