FEI TOTO KUREJEA YANGA NA MAJIBU YA INJINIA HERSI

preview_player
ะŸะพะบะฐะทะฐั‚ัŒ ะพะฟะธัะฐะฝะธะต
๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2024 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
#wasafi #wasafitv #wasafifm
ะ ะตะบะพะผะตะฝะดะฐั†ะธะธ ะฟะพ ั‚ะตะผะต
ะšะพะผะผะตะฝั‚ะฐั€ะธะธ
ะะฒั‚ะพั€

Una hekima sana Engineer wetu Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza

deboraelias
ะะฒั‚ะพั€

Weee n baba n kaka n kijana nakupenda saaana Rais wetu unajua ubinadam na kumchukulia mtu Mungu akuongozee zaidiii Daima Mbele Nyuma Mwiko Mungu mulinde kila kona najua mafisad wapo ila Mungu msimamie maaana anafamilia mtie nguvuu mja wakoโค

upendogidion
ะะฒั‚ะพั€

Ila ubarikiwe sana bro, moyo wako uko Safi, Kuna kitu nimejifunza kwako usimkum mtu wakati we ujaukumiwa.Mungu akuongezee miaka Mungu yakuishi tunaitaji watu Kama wewe apa tanzania.

violethNamz
ะะฒั‚ะพั€

Huyu ni aina ya watu kama Ruge mutahaba, very great thinker

kijokombao
ะะฒั‚ะพั€

Waandisha mnaakili ndogo sana hilo swali lilikua nilakichonganishi ila limekutana namtu mwenye IQ kubwa sana hongera sana ingenia heris saidi

mudysuguru
ะะฒั‚ะพั€

This man is one of the great mentor in Tanzania. BRAVO ๐Ÿ‘ Engineer nakukubali

peacemuzaliwa
ะะฒั‚ะพั€

Sama mimi namupenda sana DCI wajemeni

Mariam-twfx
ะะฒั‚ะพั€

Kweli wewe ni kiongozi wa watu sio wanyama ndio maana unautashi wa juuuu sana big up Mr president of football

mkisialbert
ะะฒั‚ะพั€

Huyu jamaa kiongozi wa mpira kwa kweli na ikimpendeza agombe uraisi wa chama cha mpira tanzania tutafika mbali sn

salumjuma
ะะฒั‚ะพั€

Great engineer huo ndouongozi kweri kweri

BrunoNoriah
ะะฒั‚ะพั€

Good way of thinking ifike mahali mfanyakazi aheshimiwe kama mfanyakazi na maamuzi yake yaheshimiwe Fei akitaka kurudi Utopolo arudi tu au akitaka kuja Unyamani aje tu it is all good.

BigZhumbe
ะะฒั‚ะพั€

Hersi said NI mwamba inborn wisdom hii apa

EllyNacy
ะะฒั‚ะพั€

amna kitu ap mbon fei alshawahi kusema kurud yanga pak engineer aondoke ap jangwan
๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข

Zakariaedward-llys
ะะฒั‚ะพั€

Hakunaga engineer LAFA (soma kinyume ) wallah

fadhililihinda
ะะฒั‚ะพั€

Haha....mmeona majibu ya mwanamichezo? Safi sana Hersi kijana alijiona na akakosea sana ila tufunike kombe mwanaharamu apite vzur Sana hakuna vinyongo kwenye mpira ila Yanga imejitosheleza Kwa uwezo wa mmoja mmoja mpk timu

lirastanley
ะะฒั‚ะพั€

Oscar Oscar anataka kuongea ujinga wake ๐Ÿ˜‚

sokastrGaziMedia
ะะฒั‚ะพั€

Huyu mtoto mwacheni aje yangaa tunamkubali sanaa

OmaryJulius-bp
ะะฒั‚ะพั€

Wewe kweli mpira unaujua tafauti na watu wengine wa yanga

ghulamhaji
join shbcf.ru