MAGONJWA, YANAYO; SUMBUA, By VOP KASULU kigoma

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hakika nabarikiwa na jumbe zenu mnazozitoa kupitia uimbaji mwenyezi Mungu azidi kuwabariki pia awape afya ili wengi wapate kuokolewa kupitia nyimbo zenu zenye mafunzo yaliyokamilika❤❤

NinahNchina
Автор

Hii nyimbo zenu zote zinabariki sana inafanya nielewe kwa undani unabii yaani inafanya najihisi nko mbinguni, mbarikiwe na karibu sana kenya kwa wingi mkuje mbariki wakenya, napenda sana uimbaji, pia mimi mwanachoir katika kanisa la nyumbani, inaitwa chebarus sda church kitale, nawakaribisha sana uku chebarus

jeniffersoita
Автор

VOP Mungu azidi kuwatumia kuzisogeza roho nying karib na kristo

exaverysogoye
Автор

Mbarikiwe, nawafuatilia sana VOP hasa huyo soloist ananivutia sana namna anvyosolo

charleswankyo
Автор

MUNGU azidi kuwabariki na kuviinua vipaji vyenu alivyowajalia katika kumtukuza na kumwimbia MUNGU wetu mwenye enzi!!!

Mbarikiwe

Love from
Furaha choir-Swahili service-LONDON

chrisshonga
Автор

May Hod continue blessing you so you can bless us too❤❤

risperndege
Автор

Hallelujah. Hakika maisha yatakuwa mapya.
Amen

jennifernyagara
Автор

Congrulation Don Bosco media for good job.

TheoManga-fsno
Автор

GOOD GOD!! I almost Fainted because of too much happiness 😊😁

I think Angel Gabriel was also there Blowing His Trumpet 🎺 while these Precious Children of the Most High GOD were singing. When the Praises goes up, GOD'S Glory comes down

harrietkiden
Автор

Wimbo mzuri sana. Natazama kutoka Kenya na nyimbo zenu zinaniweka Karibu na mwenyezi Mungu

thomasonsongo
Автор

Mungu awabariki.nyimbo zenu nzuri sana zinamafundisho

togolotabu
Автор

Hii safi sana, Brown nakuona visa vyako

ibrahimmganga
Автор

VOP Mwenyezi Mungu naendelea kuwatunza na kuwabariki mnanibariki sana kwa nyimbo zenu be blessed

cathevamagembe
Автор

Vop kasulu choir, MUNGU aendelee kuwabariki Sana maana tunabarikiwa na kusogezwa kwa YESU.
Mwende mbali destination Mbinguni

dorothbwire
Автор

Barikiwen wote nitumien no za watatu wenu mlioimba wimbo wa magonjwa yanayotusumbua 1 jamaa mwenye ndevu nasharaf 2 mwenye kofia nyekundu 3dada sauti ya keanza sololist

selevestaponsiani-tbiv
Автор

Toka Burundi nawapendasana mbarikiwe sana

KwizeraEnock-nyby
Автор

Tujikaze watoto wa Mungu ili tumlaki Bwana wetu YESU KRISTO mawinguni 🙏

jeanefelix
Автор

Aminaaa.

Natamani hatima ya huduma hii ya ajabu mko nayo...tukutane pamoja na nyinyi mbinguni.

Wapendwa tukaze mwendo...tuzidi kuombeana.

olgaomwenga
Автор

Mubarikiwe sana Jan mnaimba vizur sana

donaldmwahalende
Автор

"Shetani hutenda kazi pia kupitia nguvu za asili kuvuna mavuno yake ya watu ambao hawajajiandaa. Yeye amejifunza siri za maabara ya viumbe vyote, na anatumia nguvu zake zote kutawala na kuongoza nguvu za asili kwa hali ya juu kadiri Mungu anavyoruhusu Wakati alipohangaika kumtesa Ayubu ni kwa haraka kiasi gani mifugo na ng'ombe, watumishi, nyumba, na watoto vilifutiliwa mbali, Shida moja ilifuatiwa na nyingine kama ndani ya dakika moja tu". GC 589.2

abelimalifedha
visit shbcf.ru