filmov
tv
SERIKALI YATOA CHANZO CHA MAPOROMOKO YA TOPE MLIMA HANANG.

Показать описание
Kamati ya Wataalamu iliyoundwa kuchunguza chanzo cha kutokea maporomoko ya udongo,mawe na tope katika mlima Hanang' imebaini kuwa chanzo kilikuwa mipasuko ya miamba iliyohifadhi maji ya mvua iliyonyesha mfululizo kushindwa kuhimili na kusababisha udongo kuanza kuserereka na kuleta maafa kwa wananchi.