filmov
tv
Mazinge vs Masai - Yesu hakula Nyama ya Nguruwe

Показать описание
Dini ya Kiislamu imeruhusu kula nyama za baadhi ya wanyama lakini imekataza kula baadhi ya nyama za wanyama wengine. Wakati wanyama wakiruhusiwa au wakikatazwa huchunguzwa, ikionekana nyama zao hazina matatizo ya kiafya huruhusiwa na zile zenye madhara hukatazwa.
Nyama ya nguruwe imekatazwa kutokana na aina ya ulaji wake, muonekano, maumbile yake mabaya na kuwa na vitu vyenye madhara ambavyo vitamuathiri mwanadamu kama uwepo wa mnyoo anaojulikana kama trichina (kwenye nyama).
#MazingevsMasaiYesuhakulaNyamayaNguruwe
#YesuhakulaNyamayaNguruwe #madharayanguruwe
Kwenye Qur’an, nguruwe ametajwa sehemu tano. Aya ambazo zimetaja ni kama zifuatazo:-
“Yeye amekuharimishieni mzoga na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu.” (al-Baqara, 2/173; an-Nahl, 16/115)
Ubaya wa hali ya nguruwe umeoneshwa kwenye aya ifuatayo:
“…Ni yule ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani na amemkasirikia, na amewafanya miongoni mwao manyani na nguruwe, na wakamuabudu Shet'ani. Hao ndio wenye mahali pabaya na wamepotea zaidi njia iliyo sawa!” (al-Maeda, 5/60)
Kula nyama ya nguruwe kumekatazwa na dini zingine vile vile. Kwa mfano, yafuatayo ni maelezo yanayotokana na Kumbukumbu La Torati, kwenye kitabu cha Wayahudi:
“…na nguruwe, kwakuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu; msile nyama zao, wala msiiguse mizoga yao.” (Kumbukumbu La Torati, 14/8)
Nyama ya nguruwe imekatazwa kutokana na aina ya ulaji wake, muonekano, maumbile yake mabaya na kuwa na vitu vyenye madhara ambavyo vitamuathiri mwanadamu kama uwepo wa mnyoo anaojulikana kama trichina (kwenye nyama).
#MazingevsMasaiYesuhakulaNyamayaNguruwe
#YesuhakulaNyamayaNguruwe #madharayanguruwe
Kwenye Qur’an, nguruwe ametajwa sehemu tano. Aya ambazo zimetaja ni kama zifuatazo:-
“Yeye amekuharimishieni mzoga na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu.” (al-Baqara, 2/173; an-Nahl, 16/115)
Ubaya wa hali ya nguruwe umeoneshwa kwenye aya ifuatayo:
“…Ni yule ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani na amemkasirikia, na amewafanya miongoni mwao manyani na nguruwe, na wakamuabudu Shet'ani. Hao ndio wenye mahali pabaya na wamepotea zaidi njia iliyo sawa!” (al-Maeda, 5/60)
Kula nyama ya nguruwe kumekatazwa na dini zingine vile vile. Kwa mfano, yafuatayo ni maelezo yanayotokana na Kumbukumbu La Torati, kwenye kitabu cha Wayahudi:
“…na nguruwe, kwakuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu; msile nyama zao, wala msiiguse mizoga yao.” (Kumbukumbu La Torati, 14/8)
Комментарии