RC Chalamila atangaza kuanza msako wa ombaomba Dar es Salaam

preview_player
Показать описание
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema anatarajia hivi karibuni kuanza msako wa kuwaondoa ombaomba waliopo kwenye maeneo mbalimbali ya jiji husasani kwenye nyumba za kulala wageni ambako inadaiwa wanafichwa huko na wanaowatuma kufanya shughuli hiyo.

Mkuu wa mkoa huyo amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu suala la amani katika sherehe za Pasaka, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Octoba 2025 na miradi ya ujenzi inayoendelea.

#AzamTVUpdates
Mhariri | @official_jennifersumi
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kumbe na nyinyi mmeshaona kua watu hawataki kushiriki katika kupiga kura ee. Bas jueni wamekuchokeni na wamechoka kuhangaishwa kwa jambo lisilo na tija kwao.

IddiKhamis-uc
visit shbcf.ru