filmov
tv
Athanas Yakobo -NI BWANA (Official Music Video)

Показать описание
Yohana 21:7
[7]Basi yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda akamwambia Petro, Ndiye Bwana. Naye Simoni Petro, aliposikia ya kwamba ni Bwana, akajifunga vazi lake, (maana alikuwa uchi), akajitupa baharini.
...............
kuna Mambo yanatokea au kupitia kwenye Maisha yetu lakini tusijue kuwa ni NI BWANA Katenda, hapo Petro hakujua. Mwanafunzi Ambaye Yesu alimpenda alijua kuwa NI BWANA, na Kwa Sasa huyo mwanafunzi ni wewe. Hivyo, yakupasa ujue kuwa Bwana ana uwezo wa kutenda makuu Juu ya watu wake na Uwaambie wengine walio uchi (kama alivyokuwa Petro), wenye uchungu mwingi, waliokata tamaa, wanaoteswa na masumbufu ya Dunia kuwa NI BWANA awezaye kufanya ukurasa mpya.
Mungu wetu siyo mnyonge, ni Mungu Mkuu Mwenye kujibu Kwa Moto (1Falme 18:24, 38-39), Mwenye kujidhihirisha Kwa tanuru ya Moto, umeme/radi, Ngurumo, Moshi na Mwenye kutetemesha milima, Mwenye Neno linalopasua mawe, Mwenye kuipasua bahari n.k (kutoka 19:16-18, Mwanzo 15:17, Yeremiah 23:29). Lakini kama apendavyo yeye anaweza akajitwalia umbo la upole, na unyenyekevu mwingi na akaja kwako Kwa sauti ya upole na utulivu (Mathayo 11:29, 1Wafalme 19:12).
Katika namna zote tujue kuwa NI BWANA.
Namshukuru Sana Mungu Roho Mtakatifu aliyenipa Melody ya wimbo huo mnamo tar 29/01/2023 usiku ndotoni. kama kutukuzwa atukuzwe yeye.
Zaburi 115:1
[1]Ee BWANA, kutukuza usitutukuze sisi,
Bali ulitukuze jina lako,
Kwa ajili ya fadhili zako,
Kwa ajili ya uaminifu wako.
Singer and song writer: Athanas Yakobo
Song: NI BWANA
Audio Producer : Eng. Golden fingers
video producer: Director Meek
MAY GOD BLESS YOU !
[7]Basi yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda akamwambia Petro, Ndiye Bwana. Naye Simoni Petro, aliposikia ya kwamba ni Bwana, akajifunga vazi lake, (maana alikuwa uchi), akajitupa baharini.
...............
kuna Mambo yanatokea au kupitia kwenye Maisha yetu lakini tusijue kuwa ni NI BWANA Katenda, hapo Petro hakujua. Mwanafunzi Ambaye Yesu alimpenda alijua kuwa NI BWANA, na Kwa Sasa huyo mwanafunzi ni wewe. Hivyo, yakupasa ujue kuwa Bwana ana uwezo wa kutenda makuu Juu ya watu wake na Uwaambie wengine walio uchi (kama alivyokuwa Petro), wenye uchungu mwingi, waliokata tamaa, wanaoteswa na masumbufu ya Dunia kuwa NI BWANA awezaye kufanya ukurasa mpya.
Mungu wetu siyo mnyonge, ni Mungu Mkuu Mwenye kujibu Kwa Moto (1Falme 18:24, 38-39), Mwenye kujidhihirisha Kwa tanuru ya Moto, umeme/radi, Ngurumo, Moshi na Mwenye kutetemesha milima, Mwenye Neno linalopasua mawe, Mwenye kuipasua bahari n.k (kutoka 19:16-18, Mwanzo 15:17, Yeremiah 23:29). Lakini kama apendavyo yeye anaweza akajitwalia umbo la upole, na unyenyekevu mwingi na akaja kwako Kwa sauti ya upole na utulivu (Mathayo 11:29, 1Wafalme 19:12).
Katika namna zote tujue kuwa NI BWANA.
Namshukuru Sana Mungu Roho Mtakatifu aliyenipa Melody ya wimbo huo mnamo tar 29/01/2023 usiku ndotoni. kama kutukuzwa atukuzwe yeye.
Zaburi 115:1
[1]Ee BWANA, kutukuza usitutukuze sisi,
Bali ulitukuze jina lako,
Kwa ajili ya fadhili zako,
Kwa ajili ya uaminifu wako.
Singer and song writer: Athanas Yakobo
Song: NI BWANA
Audio Producer : Eng. Golden fingers
video producer: Director Meek
MAY GOD BLESS YOU !
Комментарии