Chupi yake mwenyewe anajifanya hajui.. Tangazo la kupromote chupi 😀😁
laurentraphael
usijarimbu kupekua handbag ya mwanaume
PackalOtieno
APA ingekuwa Mimi namwambia nlikununulia we ila nlisahau kukupa
amanimanase
Aah, sasa hilo swali gani @millardayo !!?? Yaani fyatulie risasi, aafu, uikwepe, au vipi!!?? Wee tuache wewe!! Usiombe ushauri kinamna hapa!!😂😂😂😂😂
aansjacksonskutty
Unamwambia Ni ya kwangu nimepewa na mganga wangu ili nipandishwe cheo kazini😄😋😋
edgarsheldon
😂😂😂😂😂😂leso za kisasa🤣🤣🤣 uyo mdada nae aliyataka
neemantinkwa
Ukisikia kuwa ukipekuwa yasiyokuhusu, utakutana na yanayokukera ndio hii sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
onesmotendega
Mwanamke kwanza nani kampa kibali Cha kusachi nguo za mme wake hakuna mwanamke hàpo, , ilitakiwa aondoke mda huohuo pengine yeye ndo ameweka kumtafutia ubaya, , maana kaanza Kwa kumuita mbwa