Yanga ilivyowasili kwa Mkapa kwaajili ya kariakoo Derby.

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Tulioona kwamba sisi yanga ni team ya kuogopwa mnoo adi tunakumbiwa gonga like

GrethaNyanjile
Автор

Alafu wako serious hawachek na yoyote😂😂 nawapenda bure one love from mombasa kenya❤❤🎉🎉

munnahali
Автор

Daima mbele nyuma mwiko, na wanavyo gomagoma ivyo sisi ndo tunapenda 😅😅

bilshanmartin
Автор

Watu wanaitaka mechi💚💚💛💛💛
Makolo mbio

EmanuelMiyonjo
Автор

Kuahirisha mech kisa kukosa mazoez siku moja tu haitosh kuwa kisingizio jaman young African is my glad

halimajuma
Автор

Sana2 susa sisi tunakula mama mkanye mwanao❤❤😢😢

SubaruBoy-vr
Автор

Mind game ndio hiii yanga ni the best of All Mind game 🔥

Officialboysafi
Автор

Naomba baadae sije mkatusaliti na kukubali game kurudiwa aisee

jr_mkumbojr
Автор

Hakika mungu ametenda haki kwny mwezi huu mtukufu wa ramadhan kwani watu wengi wangehafilika na ibada za mwezi huu kw siku ya leo

rahmaabdallah
Автор

Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

claratango
Автор

safi kabisa, hii ndiyo yanga yenye maamuzi ya kiume, siyo kukubaliana na taarifa za juu kwa juu kama mmekutana kwenye klabu za pombe.tff iwe na heshima iache porojo kwenye maswala ya msingi.

ngekewamallya
Автор

Watu hawana muda wa kupoteza tunazitaka point tutetee ubingwa wetu mapema😂😂😂

ShevernadzeLenga
Автор

Naipenda sana yanga ❤❤❤nyumdo za yanga hizo. Niko koromije misungwi mwanza

SilasZacharia
Автор

Hii ndio maana halisi ya club kubwa, kusiwe na mechi nyingine ya derby zaidi ya mechi hii ya tarehe 8/3/2020 tafadhali💪

geoffreyfridolin
Автор

Wanayanga tumekubaliana mechi ni leo iyo ya wakati mwingine ni ya tff na simba sisi tushamaliza yetu leo

luck-sz
Автор

Safi sana😂 wanaume WA kweli huwa hawasusi

domisonrichman
Автор

Hawa jamaa ndo maana wamekimbia sio kwa userious huu 😂😂💛💚🖤💪🙏👏

RusiaNshekanabo
Автор

👌👌🙌🙌 makolo mpo wapi tunawahitaji msituletee drama za ajabu kisa kuto piga zowezi siku moja

JaphariAyamba
Автор

Kuna wachezaji wakigeni apo wanajisemea kimoyo moyo huu ni upuuzi sema hawawezi kusema muangalie pacome sura inajieleza

Tarent-of
Автор

Mjitahidi kujiepusha na mind game zao na kuwatoa mchezoni point 3 ni muhimu zaidi kwetu naimani na viongozi wetu hamtotuangusha kufikia malengo yetu

radhiamussa
join shbcf.ru