Maajabu! Bibi azuia gari na pikipiki zisiondoke Stendi Arusha, ushirikina watajwa

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Bibi 🙌
Sema umeniangusha
Ila kwa nn Usingetumia usafiri wenu ule wa Technology ya Tesla

blackwarrior-animations
Автор

"kama ameweza kuzuia gari lisiende naamini anaweza kutusaidia kuzuia rushwa" Big up Simon Magembe.

ابنعثمن
Автор

Hii haitaji akili nyingi kujua huyo bibi ni mganga wa kienyeji na mchawi. Lakini hii inaonesha dhahiri kuwa wapowasababishi wa mambo mengi yagiza Giza yanayotekea maeneo mbalimbali, lakini mtu akimwamini Mungu kwa hakika hatatahayari..
Hesabu 23:23 Hakuna uganga juu ya Israel wala hakuna uchawi juu ya Yakobo.

davidkalebi
Автор

Ingekuwa vizur kabla ya safarii Muanze kwa Salaa Mungu ndio kila kitu

ronalddecornel
Автор

Duh kama kwel umemkubal bibi gonga like twende sawa

adilinanduguze
Автор

Yesu ni zaidi ya bb..muwe mnasali kwanza kabla ya safar

frankkimaro
Автор

Hakunaga mchawi anaefanikiwa wallah, wengi wako wanapenda kukomesha tuu😂😂😂

felistamagoyo
Автор

Kama unaamin huyo Dada n bonge la muzigo na hy miwan yake gonga like

barakmazigo
Автор

😂😂😂mkome kuwadharau abiria Bibi noma kawatoa kijasho🏃🏃

brownlovekiwall
Автор

Mm ngoja niimbe zangueee"yeesu niongoozee nimalize mwendo salama"

gloryleon
Автор

uyo bb wakuua tu hana ata faida ..sasa kama ashajua c angetafta gari lake tu
na naomba jeshi walifanyie msakobegi la uyo bibi jinga ..pengine mna viongo vya binadamu umo

abuuashyam
Автор

Dah mungu atusaidie jamani kwa jina la yesu uchawi ushindwe!

mussamisinzo
Автор

Sasa huyu bib kwanin asiloge bank kuu utoe maela yaje mtaa

generalmwegama
Автор

Aliowazuia wanamilikiwa na nguvu za giza maana Shetani hawezi kuingia katika nyumba ya mtu kuiba bila kuwafunga kwanza walioko kwenye hiyo nyumba.

Huyo bibi amefanikiwa kuwafanya hivyo lakini laiti mngelifunuliwa siri za ufalme wa Mungu wala msingemuomba radhi huyo bibi maana Neno la Mungu ni moto ulao.

gabrielisack
Автор

Bibi nifanyie mpango magari ya CCM yasitembee kipindi cha kampeni mwakani.

matitu_jr
Автор

huyooo bibi hafaiii alikuwa na mipango yake yamkinii alitaka kuuwaa weengiii saana mshukurunii munguu.

gracemwanjabala
Автор

ambaye hajamsalimia bibi sim yake itazimaa hebu like hapa

stevenkibaso
Автор

Tanzania tunatafunwa na matatizo mengi jamani.... Na hili ndo linashika namba moja na ndo la hatari kuliko matatizo mengine yote.
Ni mpaka Mungu mwenyewe atakapoamua kutuepusha na watu kama hawa. Itawezekana tu pale ambapo kila mtu ataweza kumrudia Mungu.

annapeter
Автор

Dahh Millard ayo mpo vizuri kwa ufuatiliaji wa habari

isayasway
Автор

Fanya mpango huyo bibi siku mazembe wakija huyo bibi atisaidie kuwafanya wawe na miguu mizitoooo! Ili simba tuwapige nane! Hahaaa, pia twende nae misiri

sirmwita