WACHEZAJI WALIVYOINGIA UWANJANI KWA MBWEMBWE KUSALIMIA WANANCHI

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wallah hadi raha🎉🎉💚🖤💚congratulations my team and fans

halimasawa
Автор

Tabasamu la dube linaonyesha zahiri kua anainjoy kua yanga ❤❤

hamisuuhamadi
Автор

Safi. Sana. Vijana. Wetu. Yanga. Jeshi kubwa. Mungu. Awabariki. Sana. Tukaanze. Msimu. Mpya. Kwa. Kishindo tukimtanguliza. Mungu. Amen

AgnessNdonde
Автор

Wananchiii mme itendea haki tim yenu kwanza mme nunua sana jezi mme jaa uwanjani hongera sana

GodfreyKarino
Автор

Safi sana wanajeshi wetu endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi 🎉🎉🎉

amaniomar
Автор

Hawa wachezaji nao kuna wanaokera. Badala ya kusalimia masbabiki, kuna wengine wako bize na simu. Salimia mashabiki maana wamekuja kwa ajili yenu. Waonyeshe umeappreciate, maana wameacha kazi zao kuja kuwapa ninyi sapoti

jasminally-ew
Автор

Master Gamond you Didi it.
Wachezaji wafundishwe namba ya ku Connect na Mashabiki, kweli wengine hawaiheshimu Fursa hiyo ya kujinadi, na kuwaongezea Molali Mashabiki.

elizabethkalinga
Автор

😂😂😂kweli tunaishi Kwa kutegemeana leo nao wanawarekodi mashabiki

chollejr_
Автор

JAMANI AU MACHO YANGU UWANJA WA MKAPA UNAONEKANA RANGI YA DHAHABU TUPU...! kwa yanga hiii kunajitu litakufa

ushiwamarandu
Автор

Jamani rahaaaa kuwa mshabiki wa YANGA.🎉🎉🎉❤❤❤

ashabogasi
Автор

Ila hao wachezaji wanaogusa simu mmenikeraa hamna nidhamu 😮😮😮😮😮

NeemaMei