JE, NI KWELI TRUMP ANACHUKIA IMMIGRANTS? 🤔

preview_player
Показать описание
Immigration imekuwa ni suala kuu kwenye uchaguzi wa USA mwaka huu. KWANINI?
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

I really appreciate you Makulilo as a great humble and rational thinker. Cheers!!

DPW
Автор

Vibaya hivyo hupendi wenzako wapate sio wote watakuja kihalali sababu ni ngumu kupata

BimHamdi
Автор

Naomba Mungu Trump ashinde ktk jina la Yesu!

Waafrika tuna ujinga mwingi, kusikiliza maneno ya vijiweni bila kutafiti ukweli, na hatupendi kuambiwa ukweli, tufuate Sheria tu twende Marekani basi

christine-
Автор

We are getting now u did good to educate watu ni lack of understanding good job

BeatriceMunyua-vz
Автор

EBM hongera sana kwa kutusanua vizuri maana watu wengi wanapelekesha tuu Ila Trump akishinda Cyptocurrency blockchain meaning & Pi network nikula maisha na bataaa tuu hapo

binabeid
Автор

Kumbe wakati una tu inspire ulikuwa una ngo'ong'a😂😂😂

ibrahimelisha
Автор

Mwaka 2016 bada ya Trump kushinda aliweka traveling ban kwa Muslim Countries Tanzania ilikuwepo ktk group pia akuna kungia USA kwa Watanzania, siasa ni game of chess is about winning.

ibbyikh
Автор

Mimi nakuelewa !! Hao wote wana fanana! Kwa ubaguzi, ila Trump anaongelea wazi jinsi gani haitaji watu wa aina fulani, kumbuka alivyo ifungia Tanzania wasingie US, na je umesahau alivyo wazuia Raia wa Marekani wasirudi nchini sababu hawa kuzaliwa us? Huyu mwamba kazidi

maxlattinokiki
Автор

Uyu Mungu tunaye muomba nilazima Président wetu 🇺🇸 Trump

kelemakelema
Автор

Umefeli ndugu yangu, wewe inabidi utusaidie jinsi gani tutaingia marekani lakini masuala ya siasa sisi ayo ayatuhusu.

OscarNevele
Автор

Mkuu mimi ni shabikiyako no 1 kila video yako naifuatilia lakini wewe ni picha inayo angaliwa na wengi Africa kwahio kunavitu unatakiwa usiviongee hadhalani vifanye kimya kimya binafsi mimi nipo ughaibuni kwasasa lakini kupitia video zako so ukimsapoti trump kusema anataka green card itoke kwa maforena wanaoishi marekani tu wanafunzi na walioingia kwa njia zingine wengi itawaumiza samahani bro kama nimekosea nakubari sana💪

OmmysniperTV
Автор

KAMALA HARRIS 2025 💯 . EBM jifunze kufunga mdomo unaharibia watu bahati zao.Unajifanya mjuaji sana wa kila kitu.

franktangeki
Автор

I love the content please make for us this video in English

simplej
Автор

Naomba aTrump ashinde uchaguzi❤❤, Trump

AshaMaria-txqm
Автор

Nimekuelewa sana EBM, we should seek for the proper information and that hear say and rumours

shakwanjonies
Автор

EBM hakika Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa upendo na mafundisho mengi sahihi ya kutufanya tuingie Marekani kwa kishindo na njia sahihi kabisa

ayubujosiah
Автор

😫🤔looo kumbe hilo neno uongo jmn🙄🤣
Ila watu jmn
Mungu tusamehe

christine-
Автор

Dada Asante sana Kwa kutufungua akili mungu azidi kukulinda umesema kweli tufanye research kwanza 🙏

OctovinaMalekia
Автор

I am from Zanzibar and I voted for Trump

Jeff_Tz
Автор

Tatizo la Trump labda sio mwanasiasa 😁😁😁😁 yaani hajui kuongea kama mwana siasa, Hao wengine wanafahamu namna ya ku sugarcoat

abdulnaseermrisho
visit shbcf.ru